Namshauri atulie kama Utouh alivyojikalia zake kimya, mweyewe amesema kazi zipo nyingi za kufanya atuliza ball, hii nchi Maganster wengi.
Mtumishi yeyote unapoajiriwa lazima ufahamu na kuheshimu Mkataba wako na kwa kawaida unapaswa kumtaarifu mwajiri wako miezi 6 kabla ya kipindi chako kwisha hivyo Prof. Assad alipaswa kuomba kutayarishiwa stahili zake tangu mwezi Mei '19;
Mwajiri kama atakuhitaji uendelee ndipo utaendelea na kipindi kingine kwa maelezo mengine Prof. Assad hana busara na hafai kuwa kiongozi!
Nami nilitaka kushangaa, yaan muajiliwa utoe taarifa kwa muajili inashangazaNdio maana unaitwa "KIGURUWE", maana akili yako inaendana na jina.
Sisi wengi humu JamiiForums tumeshawahi kuwa watumishi wa kuajiriwa Serikalini na/au Sekta binafsi pia, na wengine tumesoma "SHERIA" ila hili la kutoa taarifa kwa muajiri miezi 6 kabla ya mkataba kuisha "TUNALISIKIA KWAKO".
Wote tunajua ww kila kitu unasifia hilo halina ubishi, hata utenguzi wa kichere tra ulisema sawa na leo pia unasema sawa,Ni kweli hafai alijua Ana contract ya miaka mitano Wala hakutakiwa hata kusema Sijui alitarajia Sijui mambo yalivyoenda huo ni uswahili sio professionalism.Legally you when you have a five year contract unatakiwa uishi na ujue una five year contract.,Full stop.
Jibu professional alilotakiwa atoe bila kuleta sokomoko za kiswahili za kijinga ni kujibu mkataba wangu ulikuwa miaka mitano umeisha full stop.
Msomi gani huyu anajibu Kama layman wa manzese? Majibu aliyotoa hayaonyeshi Kama ni ya mtu proffessional.
Kuna aina za utumishi ambazo unatakiwa kutoa taarifa kama hiyo. Kwa case ya CAG kwa kuwa umri wa kustaafu kwa lazima ni miaka 65 hakutakiwa kufanya kama unavyofikiri.Mtumishi yeyote unapoajiriwa lazima ufahamu na kuheshimu Mkataba wako na kwa kawaida unapaswa kumtaarifu mwajiri wako miezi 6 kabla ya kipindi chako kwisha hivyo Prof. Assad alipaswa kuomba kutayarishiwa stahili zake tangu mwezi Mei '19;
Mwajiri kama atakuhitaji uendelee ndipo utaendelea na kipindi kingine kwa maelezo mengine Prof. Assad hana busara na hafai kuwa kiongozi!
Huruma ya wananchi itamsaidia Nini...anko anapenda watu wachapakazi lakini wafate maneno yake tuuu kama alivyo makonda ili credit zote zirudi Kwake, na hyo ndo siasa...lakn kwenye issue za professionalism hakuna siasa kaka...kama watu ni dhaifu ni dhaifu tuu...alafu aliyewekwa ndio dhaifu zaidi ili hata hayo madhaifu asiyagundue, kuna mengi nyuma ya Pazia tusiyoyajua wananchi. mimi naona prof ametuonea huruma sisi wananchi.CAG ameongea kutafuta huruma ya Wananchi kama kawaida yake ili aonekane ameonewa
Mkataba wake wa ajira umeisha,wapo Watanzania Wengi wenye sifa za kushika hicho cheo,asije akajiona yeye ndio perfect peke yake
Huyu mzee anazeeka vibaya
Mr Yamoto hakuna Kifungu chochote cha Katiba kilichovunjwa. Ukikisoma hicho kifungu kinasema CAG atakaa kwa muda wa miaka mitano ambayo inaweza ikaongezwa mitano mingine. Yaani vipindi viwili. Prof. Assad aliteuliwa Novemba, 2014. Amekamilisha miaka mitano Novemba, 2019. Rais hajaamua kumuongezea miaka ile mitano mingine na halazimishwi kutoa sababu. Kavunja Katiba wapi?
Only one man with real balls Prof Mussa AssadChuma hiki......a true Son of his father! Tuna wanaume wengi wasomi but this era they behave like chickens, tigers are very few GO ASAD it shall be well with u!
Arudi UDSM au agombee urais kwaka kupitia chama ........kama mgombea huru angeruhusiwa TZ watu kama hawa wangepata uungwaji mkono mkubwa japo sio wanasiasa ila wanaweza kusimamia majukumu yao wanayokabidhiwa.Mimi binafsi ananiinspire sana huyu mweshimiwa
Bado ana 58, msidanganywe, ukweli ni kwamba alikataa kuburuzwa na JPMCAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa