Nakwambia mimi siku ametangaziwa ushindi magufuli nlikuwa safar kwenye private car moja hv tukaanzsha ubish na njemba moja kuhusu matokeo ya NEC ya kupika,, hyo jamaa nusra tuchapane makonde baada ya kusema anauwezo wa kunshusha porini kwa vle nchi tayar wanayo,, niljaa sumu ya swira hatar...