Recent content by Domeliani Cheneney

  1. D

    Kwa jambo hili sintomsahau Mh. John Mnyika!

    Speed ya akili ya Mnyika ktka maswala nyeti ni kama mapigo ya moyo.
  2. D

    Picha: CCM Moro wafunga ofisi wakiwashutumu viongozi wao kwa ufisadi

    Mbele za Mungu , Chini ya jua na juu ya ardhi MARADHI YA CCM HAYNA TIBAAAAA, zaidi nasema buriani CCM
  3. D

    Vurugu za bodaboda mwanza

    Wantumia maarifa hasi then wakikosa matunda ya kaz wanaililia jeshi la polici, hayo ni mausia baada ya kifo tena ndani ya kaburi
  4. D

    Zitto akaribishwa NCCR-Mageuzi Urais 2015

    nadhani unamsema SHONZA CYO ZZK karudie kusoma iyo source yako ya habari
  5. D

    Prof. Safari akabidhiwa tena Kesi ya Ubunge Igunga

    Tundu Lisu awe jiran haya magamba had yasome number
  6. D

    Matokeo ya Kidato cha Pili 2012, Shule zakosa wanafunzi wa kidato cha tatu 2013

    Et watoto tu hawasomi!!! 1. wasome nini? 2. katka mazingira gan? 3. Wakiwa na mudi gan? 4.Nan anwasidia? 5. nini maana na 7bu za malez mashuleni? 6.watasomaje wakat saluni na vibanda vya kuchajia cmu ziko karibu na shule? 7.JE mabaamen/women watakaa na nan? 8.Boda boda vmpakie nani? 9...
  7. D

    Kwa walimu wote.

    mhh... matatizo ya walimu yanasemwa kwa kejeli kam dhambi ya zinaa, serikali ya ajabu hii mipango mizuri 100% utekelezji 0% Walimu mjipange na mpango wa FUKAMA, serikali inachezea taaluma yenu, mkigoma serikali inatamba kuwa watawaajiri wamachinga, m2 unaeelimisha uma muelekeo wa maisha ktk...
  8. D

    Tulikuvua ubunge ili kukupunguza kasi: F redrick Werema.

    pole yake Werema, majibu yake ni kipimo cha uelewa wake kuhus Sheria. antakiwa asome tuition ya BURE kwa LISU
  9. D

    Tulikuvua ubunge ili kukupunguza kasi: F redrick Werema.

    wa kuipenda CCM labda oateshwe kama BABU wa LOLIONDO
  10. D

    Singida: Diwani wa kata ya Iseke ajiuzuru

    mwacheni akili yake imekufa ganzi huyo diwani, apishe ana macho ya kislaa slaa lkn moyo wa kikinana kinana
  11. D

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Nyau hapaswi kupewa zamu ya ulinzi wa kibuyu cha maziwa kicchofunikwa kwn anafahamu utamu wa maziwa sawa na EL na PESA, HAFAI UYO.
  12. D

    Kati ya Dr. Slaa, Zitto, Freeman Mbowe, Shibuda ni nani tumlaumu kwakutaka kudhoofisha CHAMA??

    punde cpunde mtoa mada ataokota makopo, la cvyo agangwe na KINANA
  13. D

    Huu ni ubadhirifu na ufisadi wa Dr. Slaa huko Mabwepande na mradi wa maji Karatu

    Hivi cku iz Mirembe wamefunga kile kitengo maalumu ya matibabu ya akili, Hembu masaikologist TunTemeke an tatizo gan???
  14. D

    Video ya unyama ya wanafunzi waliopigwa na kuchomwa moto na wanakijiji kwa tuhuma ya wizi wa simu

    dah...... ningewaona watu wa maana kama wangefanyia vile mafissadi wa ccm, Hapa ni korner zp za nchi hii pacpo na vyombo vya usalama?
  15. D

    Wanasiasa na mtaala wa elimu

    Ahsante kwa mada nzuri sana Mungai na sera yake ya kufuta kilimo ndo 7bu ya nchi kutokuwa na wataalamu wa kilimo, cha kushangaza sera ya kilimo kwanza inaanzishwa lkn waliojiunga na koz izo ni walosoma HGK,HGL,EGM.HGE. wizara wanapewa viongoz wenye mtazamo wa kikuku wanaotumia nguvu nyingi...
Back
Top Bottom