Recent content by Dolla_Mbili

  1. Dolla_Mbili

    Update: Biashara ya mbao kutoka Njombe kwenda mikoa mingine kama Dar es Salaam na Dodoma

    Kwa makadirio ya hizo bei 1pc ya mbao Inakua na urefu wa futi ngapi??
  2. Dolla_Mbili

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:54
  3. Dolla_Mbili

    Ukweli kuhusu "Kibamia'

    Dhana ya urefu na ufupi wa mtu juu ya Udyudyu wake nafikiri iko kimakosa sababu kuna watu wana miili mikubwa na maumbile madogo na kuna watu wana miili midogo ila maumbile yako vyema kabisa, swala la maumbile ni jambo la kibinafsi sana.....
  4. Dolla_Mbili

    Nipo tayari kutoa milioni 5 kwa mtu atakayenionyesha hili andiko

    Hakuna katika biblia nzima mahali mtu amebatizwa hivyo..... batizo zote ni kwa Jina la Bwana Yesu Kristo
  5. Dolla_Mbili

    Biashara ya ufagaji wa nguruwe

    Hii bingo natafuta eneo mkuu, niko mbioni
  6. Dolla_Mbili

    Kati ya Yohana na Mathayo yupi iko sahihi katika hili licha ya kuwa wote walishushiwa ufunuo wa "roho mtakatifu"

    Iko hv, Elisabeth mtoto wake hakua amewahi kucheza tumboni mwake tangu apate ujauzito isipokua punde tu alipokutana na Mariam na habari zile njema, na ndio maana akashangaa na kusema wazi kua kitoto kiliruka tumboni mwake kwa kustaajabu.
  7. Dolla_Mbili

    Mwanaume una mke na watoto lakini unaishi kwenye nyumba ya mwanaume mwenzio eti umepanga!?

    Mungu humpa kila mja wake kwa kadiri ya anavyoamua kumruzuku, Mja Acha majisifu....
  8. Dolla_Mbili

    Russia na China kuingia mzigoni baada yaashambulizi ya Muyahudi

    Mwisho wa movie ni kua Israel atakimbiza mwenge tu, Mmarekani akiingilia mrusi atampiga mmarekani....... Mrusi stationary mwamba atataka kujaribu mitambo kwa Israel tena....... hapo kitaumana maana ndio atakapoumia bila kutegemea ingawa ukipiga hesabu zako hazitakubali ila ikishatokea njoo...
  9. Dolla_Mbili

    Kujenga Apartments

    Karibu tujadili namna ya kulitatua hilo kwa ushauri na kazi nzuri ya kihandisi
  10. Dolla_Mbili

    Hii ndio siri 3% ya matajiri duniani hawataki uijue

    Kwa ufupi sana, ulitakiwa kuiweka kwa details kidogo ili ieleweke kwa wote
Back
Top Bottom