Dhana ya urefu na ufupi wa mtu juu ya Udyudyu wake nafikiri iko kimakosa sababu kuna watu wana miili mikubwa na maumbile madogo na kuna watu wana miili midogo ila maumbile yako vyema kabisa, swala la maumbile ni jambo la kibinafsi sana.....
Iko hv, Elisabeth mtoto wake hakua amewahi kucheza tumboni mwake tangu apate ujauzito isipokua punde tu alipokutana na Mariam na habari zile njema, na ndio maana akashangaa na kusema wazi kua kitoto kiliruka tumboni mwake kwa kustaajabu.
Mwisho wa movie ni kua Israel atakimbiza mwenge tu, Mmarekani akiingilia mrusi atampiga mmarekani.......
Mrusi stationary mwamba atataka kujaribu mitambo kwa Israel tena....... hapo kitaumana maana ndio atakapoumia bila kutegemea ingawa ukipiga hesabu zako hazitakubali ila ikishatokea njoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.