Recent content by Doline

  1. D

    Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

    Ukimpata aliyeanzia Certificate hadi kufikia Degree, huyo ni jembe sana. Kwa Mtazamo wangu, kwenye Degree mambo mengi yanakwenda kinadharia sana, lengo likiwa ni kukamilisha Semester. Kwny Diploma ya Ed, muda wa mazoezi ya Ualimu na Ufundishaji ni mwingi sana. Nimekutana na vijana wengi wa...
  2. D

    TOKA MBEYA mpaka ARUSHA(HONGERA BWANA JUMA IDD)

    Kwa tunaomjua Bw. Juma R. Iddi, tunawaonea wivu wana Arusha. Huyu Jamaa ni jembe la ukweli. Watumishi wazembe Arusha waanze kujirudi wenyewe maana Iddi ana namna yake ya kudeal na Warasimu na wababaishaji. Halmashauri ya Same wanafahamu jinsi wala rushwa na Wazembe walivyohamishwa na wengine...
  3. D

    Advera Ndambagoye ananitia wasiwasi kama ni Mtanzania ndani ya ITV sasa

    Najiuliza, alishinda vipi Usaili wa kazi ya Ualimu ambayo ndiyo msingi wa kuwa Afisa Elimu Mwandamizi? Au kupewa tu
  4. D

    Mwenyekiti CHADEMA Temeke adai alitekwa na mwanaCHADEMA mwenzake, CHADEMA yataka Polisi ichunguze

    Sikulaumu Kijana, tatizo lako unakula kila unacholishwa bila kuhoji; ukijumlisha na buku 7 unaisahau kesho. Kama kweli wakoserious, wakodi wapelelezi mahiri wachunguze na waende mahakamani
  5. D

    Mwenyekiti CHADEMA Temeke adai alitekwa na mwanaCHADEMA mwenzake, CHADEMA yataka Polisi ichunguze

    Nimefuatilia hii move tangu inaanza hadi ilipo, nikakumbuka mbinu moja ya kijeshi aliyoitumia Yoweri Museveni in 1980's, na baadaye Best yake Mr. Slim kule kwake kwny miaka ya 90. Waliwavisha wapiganaji wao mavazi ya Majeshi pinzani na kuwatuma kushambulia na kufanya uhalifu mwiingi; ikiwa ni...
  6. D

    Hii ni kwa wachaga!!

    Hapo nimegonga Like Mkuu
Back
Top Bottom