Recent content by doleicute

  1. doleicute

    Hivi akina dada ambao hamjaolewa mna laana ama? Mbona mimi nina wachumba 10?

    basi wewe ni dalali sio kwa idadi hiyo hao watakuwa wanaangalia mfumo wako wa unyago then wanasepaaa
  2. doleicute

    Msaada kuhusu kuunganisha simu mbili katika mawasiliano

    alafu utuchangishe pesa kwaajii ya matibabu ya moyo au?
  3. doleicute

    Mwanamke ikikutokea hii unachukua maamuzi gani?

    endelea kumpenda na kamwe usife moyo....kama unapata nafas mara kwa mara jaribu kukaa nae sehem tofauti namaanisha usipende sana kuwa nae tu pale unapohitaj ngono bali kila mnapopata nafas kaeni na kuongea mambo tofauti na ngono.... kukaa nae mara kwa mara kutasababisha afunguke mengi na...
  4. doleicute

    Mwanamke ikikutokea hii unachukua maamuzi gani?

    slowly atakupenda inaelekea hajaamua tu kufungua moyo Wake na labda anayosirir moyon mwake kwann hajajiachia
  5. doleicute

    Naombeni msaada niweze kwenda driving school.

    Kwa ushauri wangu mdogo, anza kwanza kujikusanyia kiasi fulan cha pesa...njoo hapa ukiwa na chanzo chako alaf sie tunafanya kujazia ...huweza omba mchango from zero mdogo wangu....mi ntakuwa wa kwanza
  6. doleicute

    Wanawake kuendelea kuendesha haya magari ni kutokujua mipaka yenu

    mtoa mada napenda kujua anatokea mkoa gani kabla sijachangia lolote
  7. doleicute

    Nyumba mbili za Lugumi zauzwa kwa Dr. Shika kwa Tsh. 2 bilioni. Mnunuzi abainika kuwa ni tapeli, mnada kurudiwa

    fanya nlichoagiza hapo juu hayo mengine atakuhadhia mwenyewe km alinisaidia au nlimsaidia.....usikariri
  8. doleicute

    Naombeni msaada niweze kwenda driving school.

    umejikusanyia sh ngapi mpk sasa
  9. doleicute

    Nyumba mbili za Lugumi zauzwa kwa Dr. Shika kwa Tsh. 2 bilioni. Mnunuzi abainika kuwa ni tapeli, mnada kurudiwa

    embu mfanye mumpe namba zangu za cm huyu jamaa nione namsaididaje
  10. doleicute

    Nyumba mbili za Lugumi zauzwa kwa Dr. Shika kwa Tsh. 2 bilioni. Mnunuzi abainika kuwa ni tapeli, mnada kurudiwa

    embu mfanye mumpe namba zangu za cm huyu jamaa nione namsaididaje
  11. doleicute

    Dk. Slaa aajiriwa supermarket

    bora ametambua kuwa wakat aliopoteza na kuujutia ...nasubr na wengine wanaoendelea kupoteza muda waige mfano
  12. doleicute

    Wanawake wa JF mnanipa raha

    walahy kama hutanipendi coz of mazingira yangu ni ya local niache tu kuliko kuigiza kama naishi masaki wakat naamkia yombo kwa gude
  13. doleicute

    Wanawake wa JF mnanipa raha

    Uwiiiiii [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  14. doleicute

    Wanawake wa JF mnanipa raha

    nac hoka sasa yaan tuna visa sana sie wadada ....we niite alaf nipe uhuru wa kuagiza chochote uone mbwembwe zangu alaf nifuate nyuma nyuma ukajionee maajabu saba ya dunia jinsi nnavyokula embe ngongo nkalale....hahahaha jmn wadada msinipigee
Back
Top Bottom