hujui kama kuna wakimbizi huwa wanatoroka kambini na kujichanganya uraiani kuna familia huwa zinakaa kambini had miaka 15 wengine wanachoka wanaamua waingie kitaa wenyewe huwezi kujua hii michezo ndio maana nimekwambia wewe sio immigration vitu vingi vipo nje ya uwezo wako
wewe huko uliko kijijini ngara unajua kuliko immigration au unataka tuweke tarifa za ndugu zake waliondoka lini kutoka kambini kwenda USA uwe ugomvi apa
dogo huna akili kibu kaishi kwenye kambi za wakimbizi na baadhi ya wanafamilia yake washachukuliwa wanaishi marekani na siku akistafu tu soka anakula udhamini wa ndugu zake wa kwenda kuishi state kupitia ndugu zake wewe utaendelea kujamba apo kijijini kwenu
watu wanazichukulia poa sana security agency za TZ kina born town wameeaza kwenda ussr na china 1980s huko kupata mafunzo leo waje wazidiwe ujanja kirahisi ivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.