Katazo limekaa kiafya zaidi kuliko Dhambi...mchafu, mtakufa coz ukipika vibaya or asipoiva minyoo itakuua....usilazimishe kwamba kula Nguruwe ni Dhambi....na andika la kula Nguruwe ni Dhambi halipo
Ukubwa wa Utajiri wa mtu unatokana na vitu vitatu tuu(3)
#1. Matumizi ya Muda wa mtu
#2. Uwezo wa Akili
#3. Material alizonazo.
Ukiona unashawishika kumfuata mtu ili akushauri...means utatumia muda wake na Akili yake(1&2) ili kukunufaisha wewe(Customer)...Dunia haikuumbwa kwa ajiri ya Ubure Bure!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.