haina haja ya kuteua from nowhere nafasi zitangazwe wenye sifa waombe wafanyiwe interview ikulu iwe na watendaji wenye uwezo sio kuteuana kwa kulipana fadhila.sekretarieti ya ajira ipo, ipewe hiyo kazi
Afadhali,maana kuna demu nimemtongoza mule miaka zaidi ya miwili anaringa tu,baada ya hiki kichapo ataingia tu kwenye anga zangu.asanteni uchumi makao makuu
Baada ya kuchoshwa na vijana wenzangu,nimeamua kuja hapa kumtafuta mdada mtu mzima kidogo age 30 and above.Any interested woman tukutane PM.age yangu 28.OVER
Safi sana kaka,unakaa mitaa gani nije kwenye hiyo grocery hapo jirani nikununulie bia mbili za zawadi kwa kumuadabisha mtu? ila nakuomba usimwambie kama ni wewe uliemshughulikia,we uchune tu atajua ni laana ya Mungu.Wanawake wakiwa na kipato kizuri wanajisahau na kuwa changamoto kwetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.