Recent content by dogman360

  1. dogman360

    KIUT

    Ndio ndio
  2. dogman360

    Huwezi jua Marekani anachoweza kufanya hadi akitekeleze, wabishi ni wengi ila mifano pia ni mingi

    Russia ipi hio iliyojaa wakenya wenye mafunzo ya kijseshi ya wiki mbili stfu
  3. dogman360

    Huwezi jua Marekani anachoweza kufanya hadi akitekeleze, wabishi ni wengi ila mifano pia ni mingi

    Mambo yanayohusu Marekani na Israel ni uwezo wao wa kijasusi na jinsi wanavyotumia teknolojia yao ya kisasa ya kijeshi kila nafasi inapopatikana. Huwezi kujua kile wanachoweza kufanya mpaka wakitekeleze. Acha nikupe mfano: Mnamo Februari 2024, Katibu Mkuu wa Hezbollah aliwaagiza wanachama wa...
  4. dogman360

    Hivi kwanini Putin kashindwa kufanya kwa Zelenskyalichofanyiwa Ayatollah wa Iran na Marekani?

  5. dogman360

    KERO Ila TCU inachofanya sio fair hata kidogo

    Wanasema wana deal tu na watu walio Report chup .sasa yeye si alikuwa bado haja Report sababu tulikuwa tunasubiri apangiwe mkopo
  6. dogman360

    KERO Ila TCU inachofanya sio fair hata kidogo

    Acha uongoi nilikuwa hapo chuoni siku watu wanapangiwa hivyo vyuo vingine
  7. dogman360

    KERO Ila TCU inachofanya sio fair hata kidogo

    Mdogo wangu alikuwa kapata chuo Kozi ya Udaktari wa Binadamu (MD)Katika chuo cha Mwanza university. Tukawa tunasubiri dogo apate mkopo ndio tumkamilishie usajili. Dogo bana si akapangiwa mkopo, sasa nikawasiliana na chuo kwamba nakuja wakasema generate control number ufanye malipo kumbe hio...
  8. dogman360

    Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

    Asante sana ..yaani unapanga baada ya mpango kukamilika .sasa pointi ya kupanga ni nini
  9. dogman360

    Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

    Nenda kaongea wale wa bank wengi wagumba
  10. dogman360

    Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

    Kuna wanawake sio binadamu ndo maana ukikaa kiz mbe wanakufilisi
  11. dogman360

    Mwanamke akikutishia mimba anakuwa anayo kweli

    Demu wako/mke wako/mchepuko akikwambia ana mimba muamini 100% ila anakua tu anataka kutoa.baadae utaskia nlikuwa nataka tu kuona utakavyo nijibu . . Wadau skuizi wanawake wanajua kutoa mimba yaani kuna mdada hapa ananiambia ana mwenzake mwaka huu katoa mimba tano 5 .
  12. dogman360

    Mwaka huu watu wa diploma wanaoenda Bachelor hamna mkopo

    inaonekana unamfahamu ndugu yangu kuliko mimi mwenyewe .ila point yako nimeipata acha niende heslb tujue tunafanyaje kuhusu mfadhili wake kusajiliwa maana ansomesha watu kibao tu
Back
Top Bottom