Mambo yanayohusu Marekani na Israel ni uwezo wao wa kijasusi na jinsi wanavyotumia teknolojia yao ya kisasa ya kijeshi kila nafasi inapopatikana. Huwezi kujua kile wanachoweza kufanya mpaka wakitekeleze.
Acha nikupe mfano:
Mnamo Februari 2024, Katibu Mkuu wa Hezbollah aliwaagiza wanachama wa...
Mdogo wangu alikuwa kapata chuo Kozi ya Udaktari wa Binadamu (MD)Katika chuo cha Mwanza university. Tukawa tunasubiri dogo apate mkopo ndio tumkamilishie usajili. Dogo bana si akapangiwa mkopo, sasa nikawasiliana na chuo kwamba nakuja wakasema generate control number ufanye malipo kumbe hio...
Demu wako/mke wako/mchepuko akikwambia ana mimba muamini 100% ila anakua tu anataka kutoa.baadae utaskia nlikuwa nataka tu kuona utakavyo nijibu . .
Wadau skuizi wanawake wanajua kutoa mimba yaani kuna mdada hapa ananiambia ana mwenzake mwaka huu katoa mimba tano 5 .
inaonekana unamfahamu ndugu yangu kuliko mimi mwenyewe .ila point yako nimeipata acha niende heslb tujue tunafanyaje kuhusu mfadhili wake kusajiliwa maana ansomesha watu kibao tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.