Hakuna Sheria ya dizaini hyo... Mfanyakaz yeyote akiteuliwa anashika hyo nafasi na akitenguliwa Anarud kwenye utumishi wake otherwise akatae au astaafishwe Kwa manufaa ya umma na rais..
Wale wa cwt walikataa Kwa Sababu za msingi kabsa..wangekuja kutenguliwa wangerudi kushika chaki lakini sio...
Tatizo fikra Zako zinawaza kuajiriwa tu.. focus ya elimu ya chuo ni kukujenga kifikra. Ndo maana utakuta wahindi au waarabu wanasomesha watoto wao hadi university Kwa lengo la kurudi kusimamia biashar Zao..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.