Afrika kuandika tena historia ya mrithi wa kiti kuangushwa na upinzani baada ya Rais aliyekuwa madarakani kufariki akiwa madarakani?

Ndugu Kalamu1, that's one side of your argument/observation

Lakini on the other side of the coin, wengine waweza kusema tofauti kabisa na ndiko niliko mimi...

Mfano, mimi naamini kuwa CCM inadhibitika kwa kigezo cha MAJIRA na NYAKATI...

Kwamba, ni kweli kabisa kuwa, wakati mwingine AKILI na UWEZO wa mbinu za kawaida za mwanadamu hushindwa kudhibiti na kulitawala jambo fulani...

Lakini wapo waamuzi na wadhibiti wa asili wa mambo ambao ni MAJIRA (seasons) na NYAKATI (times)....

Kwamba yakifika majira na nyakati za kitu/jambo/mtu/hali fulani kufikia UKOMO wake, hakuna kinachoweza kuuzuia mwisho wa mtu/kitu/jambo/hali hiyo....

Sasa swali la kujiuliza ni hili, hatudhani kuwa majira na nyakati zimekwisha kufika kwa siasa za ki - CCM katika nchi hii kufikia ukomo wake...?

Je, ni kweli hatuzioni na kuzitambua dalili au viashiria vya jambo hili kutokea haraka na upesi sana....?

Mimi naona yote aisee...!!

Kuna wengine wanasema hakuna chama cha kukipokea CCM kuongoza nchi hii...

Lakini hawa wanashindwa kutambua jambo moja, kuwa huu ni mtazamo na ni fikra za kibinadamu tu ambazo siku zote zina mipaka yake...

Hata kama hakuna chama kingine kuchukua dhamana ya kuongoza nchi hii (japo huu ni uongo tu), bado nature inaweza kuamua vinginevyo kwa sababu watu wa nchi hii wanaweza kujitawala hata bila ya uwepo wa chama cha siasa chochote kile..!!
Siasa huwezi kufanya siasa ulafu uwache bahati mbaya au nzuri ndio iweze ku determine matokeo. Unatakiwa to understand the following , which are basic factors to do well planned and scripted political events for successfully outcome.
A common political culture by no means suggests that all Tanzanians think alike. Some are conservative and tend to vote CCM.
Some are liberal and tend to vote Chadema/ opposition . Some have more negative attitudes toward public officials than do others.

These attitudes determine how Tanzanians participate, whom they vote for, and what political parties they support. Many factors — including family, gender, religion, ethnicity, and region — all contribute to Tanzanians political attitudes and behavior.

Despite family disagreements and generation gaps, children tend to grow up and vote the way their parents do. Families are generally the first, and often the most enduring, influence on young people's developing political opinions.
As people grow older, other influences crisscross the family, and naturally their attitudes tend to diverge from those of their parents. However, the influence still remains. Logically, the more politically active your family, the more likely you are to hold the same beliefs.
 
Kwamba yakifika majira na nyakati za kitu/jambo/mtu/hali fulani kufikia UKOMO wake, hakuna kinachoweza kuuzuia mwisho wa mtu/kitu/jambo/hali hiyo....

Sasa swali la kujiuliza ni hili, hatudhani kuwa majira na nyakati zimekwisha kufika kwa siasa za ki - CCM katika nchi hii kufikia ukomo wake...?

Je, ni kweli hatuzioni na kuzitambua dalili au viashiria vya jambo hili kutokea haraka na upesi sana....?
"Majira na nyakati" zimekwishawadia sana na kupitiliza!

CCM sasa hivi ipo si kwa sababu nyingine yoyote, bali ni kwa sababu wanayo mabunduki na vyombo vyote vya kuwakandamiza wananchi na kuwanyima uhuru na haki zao.

Sema tu kwamba "majira na nyakati" zinazosubiriwa ni hapo wananchi watakapoamua kuyakabili hayo mabunduki na vyombo vingine vinavyowanyima haki zao. Wakati huo ni lazima utafika na hautazuilika kwa njia yoyote.
 
These attitudes determine how Tanzanians participate, whom they vote for, and what political parties they support. Many factors — including family, gender, religion, ethnicity, and region — all contribute to Tanzanians political attitudes and behavior.
What a waste of your precious time. What "participation" are you alluding to? You mean voting freely for the leaders they want? When last did that happen?
 
"Majira na nyakati" zimekwishawadia sana na kupitiliza!

CCM sasa hivi ipo si kwa sababu nyingine yoyote, bali ni kwa sababu wanayo mabunduki na vyombo vyote vya kuwakandamiza wananchi na kuwanyima uhuru na haki zao.

Sema tu kwamba "majira na nyakati" zinazosubiriwa ni hapo wananchi watakapoamua kuyakabili hayo mabunduki na vyombo vingine vinavyowanyima haki zao. Wakati huo ni lazima utafika na hautazuilika kwa njia yoyote.

Hakika ndivyo ilivyo na sasa tunaelewana...

Utimilifu wa jambo lolote huwa ni mchakato (process)...

Yes, majira na nyakati yalishafika kitambo, lakini hayajapitiliza bado...

Kama majira na nyakati hizo zimepita, maana yake tatizo au shida tuliyonayo [uwepo wa CCM] nayo inakuwa imemalizika...

Lakini, ni hapana. Bado tuko katika majira na nyakati hizo. Utimilifu wa mchakato unaendelea step by step...

Step tuliyopo sasa ni PARTIAL REACTION ya hapa na pale. Lakini ipo ya mwisho ambayo ni A FULL AND COMPLETE REACTION ya sisi wananchi kuikataa CCM kwa vitendo kwa utawala wake wake wa kiovu...!!
 
Tanzania hakuna uchaguzi ni uhuni tu unafanywa ila kungekuwa na uchaguzi ccm wangeangushwa hata na Chauma au updp.

Hawahitaji chama kama Chadema maanake hao watawaonea. Ccm hakipo kiliishajifia kitambo na nafasi yao wamewaachia polisi, tume yao na usalama. Finished.
 
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
very possible. amini usiamini, kuna siku hapa nchini kuna mtu atashinda uchaguzi ambaye hata hamkumdhania, wengi jicho lipo kwa sa100, Lisu, mbowe etc, ila Mungu aweza kuibua Daudi wa kizazi hiki atakayewashangaza, na hilo litakuwa ni chaguo la Mungu wala si la mwanadamu. na alichokichagua Mungu hakuna wa kiupinga.
 
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Hatoboi
 
Hatuwezi kuwa mazuzu Hadi nchi kama Malawi inaonekana Ina welevu. Lazima mabadiliko tuende na wakati. Ccm kilukuwa Chama Cha kudai uhuru tu.
 
Thu
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Thubutu huku tz watu wanadegree za uoga na unafiki Hilo haliwez tokea
 
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Naona historia inaenda kujirudia!!
 
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Hongera sana kwa kuweka hii kumbukumbu rejea.

Nadhani sababu moja kubwa ni kwamba hao makamu huwa ni watu ambao wananchi hawakuwahi kuwapigia kura kuwachagua.
 
very possible. amini usiamini, kuna siku hapa nchini kuna mtu atashinda uchaguzi ambaye hata hamkumdhania, wengi jicho lipo kwa sa100, Lisu, mbowe etc, ila Mungu aweza kuibua Daudi wa kizazi hiki atakayewashangaza, na hilo litakuwa ni chaguo la Mungu wala si la mwanadamu. na alichokichagua Mungu hakuna wa kiupinga.
Muda utaamua
 
Hello

Mwaka 2010 aliyekuwa Rais wa Nigeria wakati huo hayati Umaru Musa Yar'Adua alifariki akiwa madarakani baada ya kuugua kwa muda mrefu, na kupelekea makamu wake mheshimiwa Goodluck Jonathan, kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Buhari, hivyo upinzani ukachukua nchi.

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Ghana mheshimiwa Atta Mills, akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa John Mahama kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Nana Akufo Ado ambaye ndiye rais wa sasa wa Ghana hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2012, alifariki aliyekuwa Rais wa Malawi, mheshimiwa Bingu Wamutharika, akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Joyce Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Profesa Peter Mutharika, hivyo upinzani ukachukua nchi

Mwaka 2008 , alifariki aliyekuwa Rais wa Zambia mheshimiwa Levy Mwanawasa akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Rupia Banda kuongoza nchi hadi ulipofika uchaguzi mkuu ambapo yeye na chama chake tawala waliangushwa na mheshimiwa Michael Sata (king cobra), hivyo upinzani ukachukua nchi

Mheshimiwa Michael Sata, naye alifariki akiwa madarakani hivyo kupelekea makamu wake mheshimiwa Guy Scot, kwa kipindi kifupi sana kutokana na changamoto za kikatiba ambazo hazikumruhusu kubakia kama Rais wa nchi, hivyo kupelekea nchi kuingia mikononi mwa mheshimiwa Edgar Lungu akiwa mrithi rasmi wa Michael Sata, lakini naye kama tunavyojua, mara tu baada ya uchaguzi ameangushwa vibaya sana na mheshimiwa Rais Haikande Hichilema hivyo upinzani ukachukua nchi.

Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Duh!
 
Back
Top Bottom