Big up ! Sio kwa wasema kweli...... Ooohhh wajomba wa Mahenge, RIP, we love you. Dr Ulimboka, Get Well Soon.
Mungu atawaadhibu waliohusika kwa vitebdo na hata kwa hoja, waraadhibiwa hapa Duniani na mbinguni.
Wanafikiri Madaraka ndio kila kitu, wajiulize waliowatangulia mbele za haki, hawajaacha...