Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,264
- 4,740
Mimi kinachonishangaza ni hiki, kwanini CHADEMA wanashangilia sana huu mgomo wa madaktari? kuna nini hapa jamani.
Mi nilidhani ungesema kwanini viongozi wa ccm hawaoneshi kuupinga huu mgomo bali wanaushadadia?!