Duuh, huu utafiti kiboko, mimi naomba kwanza niulize ni wanajamvi wangapi humu mama zao ni magolikipa, then ukishajua mama yako ni golikipa tuambie baba anatatizo gani hadi ameoa golikipa. Kuna jamaa yangu soja wa JWTZ nimemuonyesha hii thread, faster kajibu kuwa MWANAMKE BORA SI...
Nchi za Magharibi ndio zilienda kuharibu Syria. Ni vizuri sana waende Huko Ulaya na Marekani ili Wazungu waone karaha na mwishowe waache kuchochea Fujo. Hata Congo na Nchi zingine pia wangeenda huko
Kabla ya Kufanyika Uchaguzi inatakiwa Mipaka yote ya Nchi ifungwe na Viongozi wakuu wote wa kisiasa Hati zao za kusafiria zikusanywe ili kama kikinuka wote tuwe humu humu ndani sio kukimbilia Nairobi kwenye Press conference kutangaza Mapambano kama 2001 pale Maalim Seif akiwa DSM huku akisema...
Tukemee Siasa kwenye Nyumba za Ibada pamoja na kushirikisha Viongozi wa Dini kwenye Kampeni. Mataifa yaliyosambaratika yalianza taratibu kupuuza misingi ya namna hii matokeo yake mataifa yakaingia kwenye Vurugu na kusambaratika mpaka leo. Iwe Lowassa au Magufuli au Mgombea yeyote tusishabikie...
2010 kuna Genge fulani lilijaribu kutuaminisha kuwa Slaa ni bora kuliko Jakaya leo wanakikimbia kikaragosi chao na Uzushi wa wa kukamata Container la 40 Feet Tunduma lenye kura za Wizi. Leo hii Mrema anaonekana Bora. Tuliwahi kusema Slaa kukubali kwake Kuachia Jimbo la Karatu na kuja kupambana...
Hahahaha! Mamalaka ya Juu ndio Director wa Filamu inaitwa ' Siasa za Tanzania'.
1) Nguvu kubwa sana ilitumika kumchafua Minywele & co. wakidhani wanamkomoa Mamalaka ya Juu KUMBE WANAMSAIDIA Baada ya kupita Muda Behind the scene ndo watu wakajua ukweli.
2) Nguvu kubwa na Mikakati mingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.