Recent content by DMBK

  1. D

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Kiongozi: Ili mtumishi athibitishwe au kupanda daraja atalazimika kufanya mtihani kupima uwezo wake

    Back to patronage system. Hii siyo Bahati mbaya kuna lengo wanalotaka kuachieve. HOJA ni ya msingi lengo la utaratibu siyo la msingi. AGAIN back to patronage system in a way.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Hizi data za average IQ za Africa mzipuuze

    Kama average ya IQ ndo hiyo hili ni bara la mataahira. Hebu leta average ya mabara yote tuone.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi 6 wafariki kwa kugongwa na basi Mbeya

    Watanzania tuogope barabara kuliko ukimwi maana barabara zinaua kuliko ukimwi. Kule mwanza watu wa mazoezi walikufa barabarani tena huko mbeya watu wamekufa barabarani kwa kufanya mazoezi. Hivi serikali bado tu hawajashitukia hii trend. Open spaces zinajengwa maghorofa...duh
  4. D

    JamiiForums Tanzania Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Mheshimiwa serikali iingize orodhaya vyakula vinavyojenga ubongo wa mtoto kabla ya kuzaliwa na baada ya kuzaliwa. Kila kanda iwekewe orodha ya vyakula hivyo kwenye sera kama vile ya Elimu na Mafunzo, chakula na lishe na sera nyingenezo zinazoendana na mambo haya. Lengo nikusaidia watanzania kula...
  5. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Inahitaji ujasiri wa hali ya juu kumchagua Samia aongoze tena kwa miaka 5

    Hili na swala la kitaifa wewe unataka wanunulike angalau kwa sailing ngapi ili wasiwe wajinga?Samahani lakini...
  6. D

    JamiiForums Tanzania New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!

    Duh Mayalla kwenye ubora wako
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini uwe mfanyakazi wa serikali?

    Utumishi wa umma si kwa ajili ya kuwa Tajiri ni kwa kutoa huduma kwa wanachi. Wewe umejua kusoma na kuandika kwa utumishi wa umma. Leo unaona waliokusomesha na kukutibu ukiumwa tangu mtoto mchanga mpaka leo kama wamepotea wakati bado unawahitaji. Fikiri up ya mawazo yako.. ila ungesema...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Enyi kaka zetu wenye umri wa miaka 60+ ni muda sahihi sasa wa kuandika wosia kwa familia zenu

    Nimwahi kwenda makaburini nikaona makaburi ya wakubwa na watoto. Nakajifunza kifo hakichagui umri. Kumbe sikuelewa vizuri.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Duh ...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Last seen yake 2023 inakuwaje awe magufuli?
  11. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake huwa mna maana gani kusema mnaumia?

    Nilmwuliza akasema msongo wa mawazo. Ikaniblock jumla. Ukweli ni kwamba kama hana mtoto lazima unaniblock au harudii tena. Hii ni shida. Ila huyo kaniuma kwakuwa nilitaka nimkabdhi funguo zangu za nyumbani.
  12. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake huwa mna maana gani kusema mnaumia?

    Ikisema kidumu...unene ni ule wa sehemu ya label nyekundu ya Coca-Cola ila fupi. Inaweza ikawa sababu?
  13. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake huwa mna maana gani kusema mnaumia?

    Pale unakuwa naye kitandani halafu anasema 'naumia' ukisema tupumzike anasema 'hapana'. Ukiendelea anasema 'naumia'. Mkimaliza anasema sijawahi kuumia kama nilivyoumia leo. Yawning sijawahi kuelewa maana yake. Wanawake mnaweza kujibu?
  14. D

    JamiiForums Tanzania Si kila tukio ni la watu wasiyojulikana mengine kama la Dodoma yanahusisha wivu wa mapenzi

    Kwenye sheria ya ndoa tuonggeza kifungu kinachosema: ndoa hii Watoto watapimwa DNA au ndoa hii Watoto hawatapimwa DNA. Wnandoa waamue mapema cheti chanye kirai kipi watasain na kuchukua.
Back
Top Bottom