Mtoto: Mama hivi
binadamu walitoka
wapi?
Mama: Mungu
alimuumba Adam na
Hawa wakazaa watoto
wakaujaza ulimwengu.
Baba aliporudi zake toka
kwenye kilevi.
Mtoto: Baba hivi
binadamu walitoka
wapi?
Baba: Binadamu
wametokana na nyani,
miaka ikapita wakawa
binadamu.
Mtoto akarudi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.