Recent content by Dmatiko

  1. D

    Nimepigwa kibao na jini

    Hahaha! ama kweli
  2. D

    Simu yako ya kwanza ilikuwa ipi?

    hahahahahaha. Wewewe
  3. D

    Simu yako ya kwanza ilikuwa ipi?

    Mmmh hayo matani sasa.
  4. D

    Simu yako ya kwanza ilikuwa ipi?

    whats the first mobile phone brand you ever used?? me: nokia 1600 you?
  5. D

    hahaha. Nimecheka sana

    MWALIMU alisinzia darasani, DOGO akamfuata na kumwambia, "Ticha mbona umetupa zoezi tufanye alafu unasinzia??" MWALIMU: ''Hapana mimi sijalala!" DOGO: ''Wafanya nini? Mi nimekuona unalala..'' MWALIMU: ''Nilikuwa naongea na MUNGU!'' ::KESHO YAKE:: DOGO akasinzia Darasani wakati...
  6. D

    Mtoto Huyu Mmmmh!!

    Umeona eeh!!
  7. D

    Mtoto Huyu Mmmmh!!

    Mtoto: Mama hivi binadamu walitoka wapi? Mama: Mungu alimuumba Adam na Hawa wakazaa watoto wakaujaza ulimwengu. Baba aliporudi zake toka kwenye kilevi. Mtoto: Baba hivi binadamu walitoka wapi? Baba: Binadamu wametokana na nyani, miaka ikapita wakawa binadamu. Mtoto akarudi kwa...
  8. D

    Ole wenu wapenda bia za bure!

    Hahahahahahahahaha, Mbavu Zangu. Umetisha!!
  9. D

    WhatsApp!!

    Na Simu Yenyewe Mpya ni Sh Ngapi?
  10. D

    Ideos U8150!

    Jamani Simu Aina Ya Ideos U8150 Mpya Dukani Sh ngapi?
  11. D

    WhatsApp!!

    Thanks Bro.
Back
Top Bottom