Recent content by Dkt Mwijuma

  1. Dkt Mwijuma

    Ziara za Lissu hazina Tija na matokeo Chanya kwa CHADEMA

    Hiki unachokisema ni kweli kabisa CHADEMA kuna mahali wanakosea, lkn wakijiweka sawa kidogo tu wataeleweka sana kwa raia Amini nakuambia huku mtaani raia hawamuelewi kabisa Samia, anaonekana ndio Rais aliewahi kutokea kwenye nchi hii mwenye uelewa mdogo bisha nije na fact
  2. Dkt Mwijuma

    Madalali wa bongo mna matatizo gani lakini?

    Mimi huko huwa siwazi sana, mimi mawazo yangu huwa yapo kwenye dressing code yao Kwanini 80% ya madalali huwa wanavaa micheni ya kutosha shingoni na mikononi na pia wanavaa pete vidole kama vinne hivi?
  3. Dkt Mwijuma

    Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jf bhana et siwezi kuelewa,,,,,,, Kama huna hela umepanga nyumba moja ina wapangaji kumi pambana na hali yako! Watoto wako wanasoma shule ya serikali ina wanafunzi 900 pambana na hali yako Kuna watu wanaishi nyumba nzima na ina fensi...
  4. Dkt Mwijuma

    Masheikh 4, wameshinda kesi leo tarehe 4/6/2024 mahakama kuu Dar es Salaam

    Ugaidi, Ugaidi, Ugaidiiiiiiiii Sema ngoja nisiongee sana
  5. Dkt Mwijuma

    Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

    Kwamba ukiwa Masaki, Oysterbay, Mikocheni huwezi kulea watoto? Mkuu uswahilini ndio tatizo hilo lipo mm nipo Mwanza hata hapa Mwanza ukiwa Ghana, Kilimahewa, Mabatini huwezi kulea watoto masikini wana changamoto nyingi sana
  6. Dkt Mwijuma

    Wachezaji waliofukuzwa uwanjani kwa kelele za mashabiki wasiojua mpira

    Hivi kati ya hao uliotaja kuna mtu kapigiwa kelele kama Harry Maguire? Sometimes nao wanakuwa wamechoka tu na hawana njaa ya mafanikio
  7. Dkt Mwijuma

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    Mimi pia sipendi umasikini, simpendi masikini hana heshima (kotekote pesa na kuheshimu watu) Ana wivu, kisirani mvivu sasa kwanini nitake mtoto wangu aolewe na masikini? Kosa la Gardina lipo wapi hapo? Na naiman wewe pia utakuwa masikini maana hiki ni kisirani
  8. Dkt Mwijuma

    Tetesi: Kumbe Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara na Makonda?

    Ujenzi wa stand ya mabasi ya Bukoba,, fuatilia mkuu
  9. Dkt Mwijuma

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Yaaan wewe ni wakumtisha RC? Wameru ndio jeshi gani inchi hiiiiii? RC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na jeshi la polisi limo kwenye kamati, RPC wa Arusha yupo chini ya Makonda (polisi wana vituo karibia kila kata nchi hii) Kwaiyo taarifa za usalama za mkoa mzima zipo...
  10. Dkt Mwijuma

    Nalipiaje Poweramp Player Wakuu...?

    Fanya kwanza hivyoo kisha utanishukuru baadae mm ninayo miezi miwili sasa na sipati hiyo notification ya kulipia na inafanya kazi vizuri kabisa, kiukweli nachoipendea haina ads
  11. Dkt Mwijuma

    Jinsi ambavyo laki tano inakwenda kunipa mshahara wa laki sita kwa mwezi

    Kiukweli watu wanakubeza tu ila upo vzr sana keep it up uje unikopeshe laki moja tu, hapo chuo unasoma nini tajiri?
  12. Dkt Mwijuma

    Jinsi ambavyo laki tano inakwenda kunipa mshahara wa laki sita kwa mwezi

    Sio tajiri tu, huyu ni bilionea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  13. Dkt Mwijuma

    Kuwa makini na hili utanishukuru

    Kumekuwa na matukio ya kuvuja sana kwa picha ama video za maudhui ya ngono, na hili linawapata sana watu mashuhuri Mfano Gwajima, Chongolo, Nyalandu nk. Nikikumbuka nikiwa chuo niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja mzuri matata hapo chuoni na tulielewana sana, lakini ilitokea kiongozi...
  14. Dkt Mwijuma

    Tatizo la Ethiopia ni nini hadi raia wake kuikimbia nchi yao kwa mamilioni?

    Nakazia hapo mkuu, kutoka Ethiopia mpaka kufika Afrika kusini muEthiopia mmoja anatumia sio chini ya milioni 5 hesabu ya haraka haraka Hawa jamaa wanalipa pesa ndefu sana kwa watu wanaowasafirisha kutoka huko wanakotoka mpaka kufika Afrika Kusini Kuna jamaa mmoja aliacha magunia ya mchele...
Back
Top Bottom