Recent content by dkamgu

  1. dkamgu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini hukumuoa/ulimkimbia Mwanamke uliempa mimba?

    Huyo hakupendi kaka.just move on mwanamke akikupenda kweli hawezi kupitisha siku bila kuwasiliana na wewe Tena baba wa mtoto wake Kingine Kuna wale wanawake viburi wanaopenda mashindano na mwanaume hawataki kujishusha. Type za aina hii ni eat and run unapita kushoto, wa hivi ukimuoa...
  2. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

    Mkuu me nilinunua Radio LGCM5760 Watt 1100. Mwanzoni nilikuwa kama siielewi nilikuwa naiunganisha kwenye computer Kwa kutumia haya manyaya ya kichina nilikuwa naona inamziki wa kawaida Sana. But siku Computer yangu ilipokubali kuiunga hii radio Kwa Bluetooth hapo ndo nilipoanza kusikia mziki...
  3. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Tuweke ushabiki pembeni, ipi ni medali hapo?

    Final mechi 2 ndo Iko poa Ili kama ukifungwa tujue umefungwa kweli sio Kwa bahati mbaya. Maana unapewa nafasi ya kurekebisha makosa kama ulikosea mechi ya kwanza
  4. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Nukuu kutoka kwenye Movies au Series

    "Nothing unifies a people like a common enemy" (Agamemnon in Troy)
  5. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Nukuu kutoka kwenye Movies au Series

    "peace is for the women,and the weak.Empires are forged by war. ( Agamemnon in Troy)
  6. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Nukuu kutoka kwenye Movies au Series

    "There are no pacts between lions and men" ( Achilles- Brad Pitt)
  7. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Nukuu kutoka kwenye Movies au Series

    "The Gods only protect the strong" (Agamemnon in Troy)
  8. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Nukuu kutoka kwenye Movies au Series

    "Nothing makes a person more productive than the last minutes" (John Ciard)
  9. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    OUTER BANKS Ndiyo Jina la series
  10. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Hiyo hutajuta kaka inakisa kitamu sanaaa.
  11. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    OUTER BANKS
  12. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    The big John anatumia Zaidi ya miaka 20 kufanya utafiti ni wapi meli ya matajiri ilizama na shehena ya dhahabu. Kwa BAHATI mbaya inatokea kutokuelewana na rafiki yake ambaye Huwa anamkodishaga boti yake KWENYE harakati ya kuitafuta the royal merchant gold. Wakiwa Kwenye boti katikati ya kisiwa...
  13. dkamgu

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    icheki na outer banks. Hautojutia muda wako
Back
Top Bottom