Baadaye utajua hujui!
Kwani umetumwa na nani?
Aliyekutuma ndio kakupa hiyo taarifa?
Unaandika bila kuchunguza mambo, na kuonyesha udhaifu na ufinyu wa upembuzi wa taarifa uliyopokea!
Acha kulichafua kanisa na waumini wake kwa sababu za kuhisi!
Halafu hilo jina mbona halifanani na wewe! WEWE...
Ungelijua usingeuleta uzi huu humu! Maana taarifa yako haina ukweli, mchungaji wa Nyasubi hajawahi kwenda polisi kwa lolote kwa hizo tarehe zako ulizoziweka kwenye huu Uzi wako wa uongo, sema una agenda yako na sababu zako.
Kama kweli unajua SDA ni taasisi kubwa na walengwa ni washiriki...
Ingekuwa heri, kabla ya kuandika bandiko lako ukajiridhisha na mambo mengi kidogo ya hayo uliyoyaandika:
1. Ni kweli mchungaji alilala mahabusu? Kama ni kweli, basi uko sawa na kama ni uongo! Kwa nini unaleta taarifa kuihadaa umma.
2. Je ni kweli mchungaji na huyu unayemwita muumini wake...
Vilaza LST ila vipanga vyuo watokavyo? Hebu fikiri kwa sauti....angalia hoja za wahanga hao na sio jibu la pamoja lisilo na msingi kwa malalamiko tajwa
Kama mtu msomi wa ngazi hii unawaza hivi waleo walioishia form vi kwenda chini si balaa! Elimu zamani ilikuwa mkombozi, ila kwa uelewa huu wa mkuu huyu ninashaka kama kweli Elimu bado ni mkombozi
Pole sana ndugu, tuna ombwe la uongozi, mbaya zaidi wanaiona hali na vifo vya watu ila hawajali! Huwa naangalia wakienda kuwazika wabunge na wengine wenye vyadhifa, ndipo napokumbuka machoni kama watu.. . ila mioyo yao ni bora Simba mwenye njaa[emoji706]
Taarifa zao ziko na ukakasi, mtu mzima huwezi danganwa kirahisi na maelelo ya Ummy, wanajificha kwenye shamba la mchicha bila kujua migongo yao iko nje!
Waje na data, tuone hali ilivyokuwa mwanzo na sasa kwa nini kudanganyana umma! Kwa maslahi ya nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.