sidhani kama kweli ulipiga simu vodacom kwasababu ili ujue vocha imetumika au bado au inatatizo lolote ni lizima Huwe na kadi number za vocha ambazo zinakuwa pale chini ya vocha na wew unasema kuwa milladhayo alitaja voucher number ukawa unaingiza je kadi number ya hiyo voucher ulitoa wapi mpk...
Habari! napenda kujua wanasheria kuhusu mkataba wa kazi, hivi kunasheria inasema kama mwajiri wako ajakupa mkataba mpya na bado unafanya kazi na anakutambua na anakulipa mshahara kila mwisho wa mwezi.
Je, inamaanisha kuwa umerenew nae mkataba automatic baada ya mwezi mmoja kupita wa kukupa...
Habari zenu! Naitaji mawazo yenu, mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hapa Tanzania nilianza kazi mwaka jana kwenye mwezi wa saba nilipoanza kazi mwajiri alinipa form ya michango mafao PPF ili nijaze kwa hajili ya kuwekew hiyo michang yangu basi nikajaz kam inavyotakiwa na kuirudisha kwa...
Habar zenu wanajamii! napenda kuuliz tofauti kati maxmalipo na selcom ipo wapi? au na huduma gani inayopatikan kwny selcom n maxmalipo pamoja na bei zake.
Habari wana JF, jamn napenda kuuliza ukitaka kufungua duka la biashara ya vipodozi kima cha chini kwa kuanzia inaweza kuanzia na shilingi ngapI? Na pia biashar ya chips ambazo ni standard unatakiw uwe na mtaji wa shilingp? Msaada wenu jamn!
Hahahahaha I like it jinsi unavyomjibu kwa hoja ndo naan watu maakaman wanashindw kesi kwa mambo madog kama hayo "kichw maji kumbe hajui kuw kichw kinamji asilimia 78%"
Hellow wana Jf napenda kuuliza hivi sakata la wizara ya kazi na ajira pamoja na wakala wa ajira limeishia wap? hakuna utelekezaji uliofanyika ata kidogo especially kwny haya makampun ya simu inamaan serikal imeshindwa kutekelez walichosem au ndo kutufny wananchi kam vifaranga vya kuku kwmba...
Hivi karibuni wadauu nadhani mnakumbuka kuwa wazari wa kazi na ajira alitoa tamko kuhusu mawakala wanao waajiri watu especially kwenye sector ya mawasiliano na mwisho ulikuwa tarehe 28/2/2014, ila mpaka sasa sijaona utekelezaji wala tamko lolote au ufuatiliaji wa wizara ya kazi ndo kwanza hawa...
jana waliitisha kikao cha gafla na wafanyakazi kitu ambacho walichozungumza eti " wamewaajiri wafanyakazi then wakawauzia vodacom" inamanaa erolink inaziilisha kuwa inafanya biashara ya utumwa!!!
Mtakumbuka mwezi uliopita mnamo 27.01.2014 na kuendelea kulikuwa na mjadala mkali ulioshika hatamu kwenye vyombo vya habari, ambapo waziri wa kazi na ajira Mhe. Gaudensia Kabaka alitoa tamko la serikali na kuzitaka kampuni zinazofanya udalali wa kuajiri ikiwemo Erolink kusitisha zoezi hilo mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.