Kwa kuwa suala la ardhi si la muungano basi hata Wazanzibari walioko bara wasiruhusiwe kumiliki ardhi bara. Wapemba waliojazana bara watambue kwamba wao ni wapangaji tu. Wakamiliki ardhi kwao na si bara!
Tafsiri vizuri habari hiyo. Tanzania Ni ya 12 kwa kasi ya ukuaji wa uchumi, na si kwa uchumi. Neno kasi ya ukuaji usipoyaweka unabadili maana kabisa. It is the 12th fastest growing economy.
Sasa kalikoroga namna gani? Katoa ushauri ambalo ni jambo jema kabisa. Hao wanaompinga hawajui kwamba sisi tukiamua kuyatumia hayo maji tutakavyo basi watakufa maana watayakosa. Tena kwenye hili wasimguse Jakaya kabisa
Museveni alipoulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu "Dissapointing the international community and the western community" Alijibu hivi; We have been disappointed for so long by the conduct of the western countries, the way you conduct yourselves there, the family handling, but we have kept...
Vijana wa Chadema wanachekesha kweli. Wanaogopa kichwa cha Zitto Kabwe. Maana kila wakiangalia pembeni wanaona hakuna wa kumfikia katika kufikiria na kujenga hoja. Wivu tuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.