Yaani usijali cha muhimu kuwa mvumilivu, alafu ukifanya usahili sio lazima kupangiwa sehemu uliyoomba kazi unaweza ukapangiwa sehemu nyingine nzuri zaidi ambayo hata hukutegemea. Na cha kuzingatia wakati unasubiri kupangiwa kazi ukipigiwa simu na namba ngeni jitahidi kuongea kwa adabu hata kama...
Mfano mimi wakati naajiriwa nilipigiwa simu mwezi wa nne nikaenda kuchukua barua Ofisini kwao kipindi hicho ilikuwa bado Dar es Salaam nikaenda kuripoti kwenye kituo cha kazi, majina kwenye website nilikuja kuyaona mwezi wa saba. Na pia kama ulifanya oral utapangiwa tu kuwa mvumilivu, mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.