Nachangia mjadala kama ifuatavyo;
Forex = betting.
Unafuu wake ni kwenye kupata faida kwa muda mrefu ( rate of repeatedly happen of an event ( probability) is higher) kulinganisha na other probability schemes kama vile footballer, n.k. provided that Una high chance of producing sniper entries...
Hawa jamaa waliwahi kunipiga 250k wakaniuzia signals. Zote trades zilikuwa zinapigwa stop loss, halafu walivyo wasenge.. Trade moja wakiotea ndio wanaipost IG na kwenye app yao ili watu wavutike.
In short wana loss nyingi sana kuliko profits.
Hawatrade kwa pesa zao wanatumia za wateja wao...
Watu humu wanasema TRC njaa kali,mimi mbona naona pazuri au kwa vile nilikuwa kwenye njaa kali zaidi mtaani kwa miaka mingi? kiasi kinachoingia kwa account baada ya makato si chini ya 700k sasa njaa ipo wapi?
Kuna furaha flani unapewa offer imeandikwa permanent and pensionable .
Jana tumemaliza induction kozi leo
Tupo tunasubili HQ.Trc post letter tukaanze kazi.
Usikate tamaa, siku moja mungu atakukumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.