thanks mkuu, ngoja nifanye hivyo ya nyuma naweza acha hivyo hivyo kwa ajili ya kubeba mzigo mkubwa, ila mbele ndio nifanye hivyo iwe laini, maana nikiendesha umbali mrefu say 150km kwa rough road yenye mashimo makubwa nachoka mabega.
Nimenunua sinoray ADV 250CC naona shokapu za mbele na ile ya nyuma ngumu sana, kwenye mabonde badala ya kunesa inakuwa inadunda tu.
kuna namna ya kurekebisha shokapu ziwe zinanesa? hasa rough road zenye mabonde unakuwa hupati ule mneso.
Kngine kwenye mchanga mwingi inayumba sana, kuna namna ya...
Nachangia mjadala kama ifuatavyo;
Forex = betting.
Unafuu wake ni kwenye kupata faida kwa muda mrefu ( rate of repeatedly happen of an event ( probability) is higher) kulinganisha na other probability schemes kama vile footballer, n.k. provided that Una high chance of producing sniper entries...
Hawa jamaa waliwahi kunipiga 250k wakaniuzia signals. Zote trades zilikuwa zinapigwa stop loss, halafu walivyo wasenge.. Trade moja wakiotea ndio wanaipost IG na kwenye app yao ili watu wavutike.
In short wana loss nyingi sana kuliko profits.
Hawatrade kwa pesa zao wanatumia za wateja wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.