Recent content by Dit000

  1. Dit000

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi na received 3 VETA, na 1 TRC ,oral hadi.sasa na moja MDA na LGA. Shusha hints mkuu. Sent from my Infinix X6525 using JamiiForums mobile app
  2. Dit000

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi kazi za veta hazinaga maswala ya data base?, maana juzi kuna watu wameachwa na wamefaulu nashangaa tena wametangaza nafasi mpya mwezi huu wakati mwezi wa kwanza wamefanya na mwezi wa pili teali wameitwa kazini
  3. Dit000

    Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    mkuu ni forex sema unaifanya kupitia prop firms, mfano kuna finotive funding wana account za instant zina bei zake hakuna cha kufanya challenge so wewe unachotakiwa kufanya ni kucontrol risks ili usipoteze account.ukiwa na 100k account instant na ukamanage drowdown vizuri kutoboa ni kugusa...
  4. Dit000

    Hivi unajua unakatwa 10% na CRDB kila unatumia kadi yako ya kulipa kwa dola?

    Equity benk nimetumia kwenye deposit za forex pamoja na UBA nimetumia hawana hizo makato kausha damu.
  5. Dit000

    Vocational Teacher II (Carpentry and Joinery)

    mmimi niliomba mansory
  6. Dit000

    Vocational teacher Mansory and bricklaying II VETA.

    habari? hivi kuna mtu amewahi fanya mitihani za utumishi anipe hints maswali yanavyokuwa? kama kuna mtu kwenye hii list kachaguliwa naomba anipe hints kidogo za maswali.
  7. Dit000

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    asee kuna waliowahi kupiga pepa la mansor and bricklaying vocational teacher VETA , watupe hints za maswali ya written. kuna hawa nimeona wameitwa usaili wa vitendo
  8. Dit000

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing. nakupa mfano sasa...
  9. Dit000

    Umebutua shilingi ngapi Betting/Forex?

    wale tunaopambana na challenges prop firms tupeane uzoefu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Dit000

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Achana na stori za mtaani fatilia wewe mwenyewe. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Dit000

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Mutual fund, mfano wake ni UTT Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom