Hivi kazi za veta hazinaga maswala ya data base?, maana juzi kuna watu wameachwa na wamefaulu nashangaa tena wametangaza nafasi mpya mwezi huu wakati mwezi wa kwanza wamefanya na mwezi wa pili teali wameitwa kazini
mkuu ni forex sema unaifanya kupitia prop firms, mfano kuna finotive funding wana account za instant zina bei zake hakuna cha kufanya challenge so wewe unachotakiwa kufanya ni kucontrol risks ili usipoteze account.ukiwa na 100k account instant na ukamanage drowdown vizuri kutoboa ni kugusa...
habari?
hivi kuna mtu amewahi fanya mitihani za utumishi anipe hints maswali yanavyokuwa?
kama kuna mtu kwenye hii list kachaguliwa naomba anipe hints kidogo za maswali.
asee kuna waliowahi kupiga pepa la mansor and bricklaying vocational teacher VETA , watupe hints za maswali ya written.
kuna hawa nimeona wameitwa usaili wa vitendo
mifuko zote zinafanya compounding interest,ila liquid haina option ya monthly dividend yenyewe faida inajizalisha kila mwezi then ukitaka kutoabaadae unatoa, tofauti na bond fund kuanzia investment ya 10mil unapata gawio kwa mwezi, 0.85% na 0.15% wanaifanyia re-investing.
nakupa mfano sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.