Na inapotokea mtu kuingilia fani na akagundulika nadhani ni wakati wa kumuwajibisha na kuondoa makapi. Tukiwaacha tunatengeneza mzigo na bomu tutakaloshindwa kulitegua
Hili ni jambo la msingi sana. Na hata ikitokea wamekosea ni wajibu wetu kama wazazi kuwaonya/kuwakanya kwa namna ambayo itawabadilisha na kuwafanya wema si kuharibu zaidi
Habari wakuu,
Siku chache zilizopita imesambaa video ya Wanafunzi ambao kwa muonekano wanaonekana ni wa Shule ya Msingi (Sifahamu jina la shule). Video hii inasikitisha mno kwa kuona ambacho wanafunzi wanakiri walichofanya.
Ipo hivi, hawa wanafunzi wakiume wanakiri kuwa na na tabia ya...
Licha ya kushikiliwa gerezani kwa tuhuma zinazomkabili, Kunde Gambija Kilulu (15) alikuwa miongoni mwa zaidi ya watahiniwa milioni 1.1 waliofanya mitihani ya darasa la saba na hatimaye kufaulu kwa daraja B.
Wakati wanafunzi wenzake wakifanya mitihani hiyo wakiwa katika mazingira ya kawaida...
Baada ya jana kukutana na kuzungumza na Watumishi wa Halimashauri ya Wilaya ya Songwe jana.
Leo Juni 25,2021 Mkuu wa Wilaya ya Songwe Simon Simalenga amefanya ziara kwenye Kata ya Mwambani ambayo inaundwa na Vijiji vya Iseche, Mbala na Mwambani.
Katika ziara hiyo ambayo aliambatana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.