Mkuu wa Wilaya Songwe, Simon Simalenga akiwa Kata ya Mwambani leo baada ya jana kufanya mazungumzo na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe

Display Name

JF-Expert Member
Feb 11, 2014
423
451
06BB2C79-1838-47CA-A536-3CEE31D63FCD.jpeg


Baada ya jana kukutana na kuzungumza na Watumishi wa Halimashauri ya Wilaya ya Songwe jana.

8A959C90-C71A-4664-95B8-1CA3D3C29104.jpeg


Leo Juni 25,2021 Mkuu wa Wilaya ya Songwe Simon Simalenga amefanya ziara kwenye Kata ya Mwambani ambayo inaundwa na Vijiji vya Iseche, Mbala na Mwambani.

79B73BA2-1927-4364-A69B-45AC3D419319.jpeg


Katika ziara hiyo ambayo aliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Songwe ililenga kwanza kujitambulisha kwa Wananchi ikiwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi wa Serikali kufika katika eneo hilo na pili ililenga kukagua maandalizi na kuwahamasisha Vijana kushiriki kwenye mafunzo ya Jeshi la Akiba kwa mwaka 2020/2021

04E680C0-1E10-4CD1-8FD4-13BD83AEF093.jpeg


Katika mafunzo ya Mwaka huu Wilaya ya Songwe inatarajia kufanya mafunzo kwa vijana zaidi ya 700 chini ya Wakufunzi kutoka JWT chini ya Meja Joel F. Cibaya

53809B63-9683-40B1-8EB7-6F5420F95470.jpeg


Wilaya hii ina jumla ya Tarafa 2 zenye Kata 18 na Vijiji 43

2F97ABDB-6B31-4506-BCAA-561DB5C583F6.jpeg


DB6C41CE-78D2-4E06-8B0C-C8599B345438.jpeg
 
View attachment 1829641

Baada ya jana kukutana na kuzungumza na Watumishi wa Halimashauri ya Wilaya ya Songwe jana.

View attachment 1829646

Leo Juni 25,2021 Mkuu wa Wilaya ya Songwe Simon Simalenga amefanya ziara kwenye Kata ya Mwambani ambayo inaundwa na Vijiji vya Iseche, Mbala na Mwambani.

View attachment 1829648

Katika ziara hiyo ambayo aliambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Songwe ililenga kwanza kujitambulisha kwa Wananchi ikiwa ni mara ya kwanza kwa kiongozi wa Serikali kufika katika eneo hilo na pili ililenga kukagua maandalizi na kuwahamasisha Vijana kushiriki kwenye mafunzo ya Jeshi la Akiba kwa mwaka 2020/2021

View attachment 1829651

Katika mafunzo ya Mwaka huu Wilaya ya Songwe inatarajia kufanya mafunzo kwa vijana zaidi ya 700 chini ya Wakufunzi kutoka JWT chini ya Meja Joel F. Cibaya

View attachment 1829652

Wilaya hii ina jumla ya Tarafa 2 zenye Kata 18 na Vijiji 43

View attachment 1829655

View attachment 1829657
Kwa hiyo? Haya basi hongera
 
Back
Top Bottom