Mama tunashukuru kwa kujenga shule nyingi nchini na pia hakuna walimu ni jambo zuri sana usiwalete tu hao waalimu waache waendelee kusota mtaani KWANI watoto watajifundisha wenyewe mpaka waelewe tuu
Na pia mama tunakushukuru kwa misadaa unayoiendea uarabuni kila kukicha hakika wabantu na waarabu ni ndugu kabsa mama...na yule mjomba wako wa Dubai hivi hajambo
Na pia tunashukuru umewaruhusu watoto wako akina mwigulu wale kwa urefu wa kamba zao mbele ya kadamsasi ya watanzania tunakushukuru mama hakuna kama wewe
Nape jamaa hakubaliki Hadi jimboni kwake Yani watu hawamuelewi, Kuna siku nilikuwa nyangao Lindi nikamfuma anazindua sijui nini pale Yani ni sokoni lakini watu waliokuwa hawana habari nae wako busy kuuza upupu JAMAA HAKUNA KITU PALE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.