Recent content by Dish

  1. Dish

    Mamlaka zinazotenda dhuluma haziwezi kuifikisha ligi yetu kuwa namba 4 kwa ubora Afrika, Yanga mjitafakari

    Ukiacha ushabiki uongee ukiwa na akili zako timamu unaona kabisa tifua tifua na bodi ya marefa wamekosea wanatakiwa kuchutuma.. Sema tumebaki kuleta ushabiki. Mungu aokoe hichi kizazi kina angamia kwa kosa maarifa
  2. Dish

    Kikosi cha Yanga siku ya derby ya Kariakoo June 15

    Ubingwa wa mezani wala haunogi
  3. Dish

    Bodi ya ligi hawajui majukumu ya timu mwenyeji

    mpira wetu, soka letu ni kivyetu vyetu Yaani wenye mamlaka ya kuusimamia mpira wetu ndio wana kuwa wakwanza kuuharibu mpira wetu.
  4. Dish

    Yanga yafungua malalamiko CAS dhidi ya bodi ya ligi

    Usibishane nao wengi wao wanaongozwa na hisia
  5. Dish

    Yanga yafungua malalamiko CAS dhidi ya bodi ya ligi

    Mara paap hii ndio ya kwanza wanafanikiwa
  6. Dish

    Naomba ushauri, nijenge nyumba Dar au Mkoani - Mjini?

    Mkoani mkuu Itapendeza zaidi
  7. Dish

    Ayubu jiandae kesho wanakupa kashfa kama Manula ilivyotokea kwenye dabi iliyopita Simba kufungwa goli 5

    Ayubu majeruhi Fanya urudishe simu kwa kaka yako mtoto
  8. Dish

    Fahamu zaidi kuhusu Afrika

    Kijana ndio wale wasiopenda vya kwao Mlima Kilimanjaro haujui itakuwa Wala fuvu la mtu wa kale
  9. Dish

    Maoni: Tahasusi mpya zimelenga kuwabeba waislamu hasa Wazazibar kuongeza ufaulu

    Tafsiri yko ya uelewa imeishia kwenye udini udini
  10. Dish

    Wakenya wanataka fainali ya AFCON 2027 ifanyike kwao

    Una uhakika au unaandika tu
Back
Top Bottom