Fahamu zaidi kuhusu Afrika

Fahamu zaidi kuhusu Afrika

Hii itakua imeandaliwa na Mnigeria au Mpolipoli yeyote, kwanini hata hijataka kuzungumzia Raslimali kama Milima(Kilimanjaro), Mbuga(Serengeti), madini(Tanzanite) au Siasa tupate kina Nyerere na CCM yao?
 
Sasa Mlima Kilimanjaro ni Nature hiyo Mkuu, yaani hizo vitu ni kama Man made yaani
Hapo sawa kuna utofauti gani kati ya namba moja kwenye list yako na hiki ulichonieleza

Kwingine naweza kuelewa kwamba vitu vilivyotajwa kwenye orodha yako ni man made lakini hii namba moja yenyewe vipi
 
Tanzania 🇹🇿 Ngorongoro Creta
Hii itakua imeandaliwa na Mnigeria au Mpolipoli yeyote, kwanini hata hijataka kuzungumzia Raslimali kama Milima(Kilimanjaro), Mbuga(Serengeti), madini(Tanzanite) au Siasa tupate kina Nyerere na CCM yao?
Hatuzungumzii Nature tunazungumzia vilivyofanywa na Watu katika siku husika, mbona Wagumu sana kuelewa ?
 
Watawala wanaodhulumu wananchi wao huku wao wakijilipa mafao makubwa na kuendelea kujilipa hela nyingi wao na wenza wao hata baada ya kustaafu: Tanzagiza
 
Back
Top Bottom