Tunaoawaon wagonjwa kipindi hiki especially mwezi huu tumepata changamoto sana haswa kwa wagonjwa wenye magonjwa yasiyoambukizwa(NCDs) kwani dawa zimetolewa nyingi sana na kigezo kilichotumika ni kwamba haziko kwenye miongozo ya matibabu ya Taifa( STGs).Kusema watu watibu kulingana na miongozo...
Kuna mida ni sahihi kusoma teolojia na miongozo ya mambo yahusuyo dini unayoichangia hapa.,Hebu huyu Mungu tusimchukulie vibaya,katupatia akili na utashi pia maarifa tuyatumie kwa ajili yetu na matakatifuza yake.
Katika Imani ya katoliki Askofu ni Rais wa jimbo na as long as hajatoka nje ya...
Akili yako inawaza pombe tu ndugu,gharama za maji mwanza haziwezi kuwa ghali kuliko ilivyo shinyanga ambako wanasafirisha maji from Mwanza.
Maji ni moja ya basic needs za binadamu na hivyo pata muda tembelea nchi nyingine serikali zinafanya juhudi zipi kuhakikisha watu wake wanapata maji safi na...
Unadhani wakazi wote wangeenda cold grest pangetosha?vipi ambao siku hiyo walikuwa na majukumu mengine ya kujenga taifa????Ndugu hii itapunguza sana wateja wa maji ama ndio tubane matumizi ya maji pia?
This is truly terrible maana sisi gharama za maji zimetriple kutoka 500k mpaka 1.5m ndani ya mwezi huku watumiaji wengi wakiwa hawapo.Yaani ongezeko la asilimia 200 hii ni hatari sana jamani
Kupata vyote hivyo huhitaji mpaka upate kitambulisho bali ndani ya wiki moja wanaweza kukupatia number yako ya kitambulisho ambayo unaweza kuiprint na kuitumia popote pale.
Nilipata shida kama hiyo nilipotaka kuomba passport last year December but within a week niliipata namba na nikaenda nayo...
7h
Moja ya sababu zinazotufanya watanzania tusipige hatua ni kuwa na viongozi wa aina hii.
Najiuliza ni vigezo gani walivitumia CCM kumsimamisha tena mtu kama huyu ambaye hapo ndipo anamwaga sera zake na kueleza kwanini achaguliwe tena.
Najiuliza zaidi juu ya vigezo watavyoviangalia wapiga kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.