Bongo ujuaji mwingi sana. Asilimia kubwa ya vijana hawataki kujishughulisha wakishatoka vyuoni badala yake wanaanza mambo ya wizi wa mitandaoni mwisho wanakuwa Wauza ODDS, wauza accounts za youtube magemu na kadhalika yani kiufupi wanajifunza mbinu zautapeli zakila namna.
Wanunua Odds...
Usichokijua nikwamba Moses Phiri aliwahi kula manzi ya Robatinyo,,, ndomana hata hayo yote yanamkuta . Nikama vile Morinyo alivyowahi kumkalisha benchi mchezaji flani huko ulaya kwasababu tu alikuwa akideti na mtoto wake
Unachosema nikweli lakini wengi wa watembea kwamiguu barabarani hawatembei katika upande wanaotakiwa watembelee. Nasema haya maana namimi nidereva na ninaona haya kilasiku
Ni kweli ila sio wote. Mimi piah niliwahi kudate na demu wa Arusha , kuambiwa "Niaje man " au kama mmekosana kukuambia "Umezingua man " ilikuwa kawaida sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.