wakuu nipo kwa daladala naelekea mbezi. nimedaka maongez ya dereva akiongea kwa simu kua kesho tar 4 may ni mgomo. wenye taarifa kamili mtujuze. kwan madai yao c wameshatekelezewa?
kova hakukosea. kauli yake ya mwisho ya kusema fuateni sheria ndo ilibeba mantiki ya kutokuingilia madaraka. kwa wasiopambanua mambo watateseka kurumbana na askari bure
toach hazijaondolewa. kama unaakili timamu, zingatia kauli aliyosema fuateni sheri za barabarani. maana yake mtii alama na vibao vya maelekezo. toach za kujificha askari ndo zimekatazwa. ukiona askari anatokea maporini na kukusimamisha kataa
madereva wa dodoma ndo hawana msimamo ni waoga sana. daladala zipo kazini na mabasi yanasafi. nadhani wao wako tayari kwenda kusoma tena watakapotaka ku renew leseni zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.