Recent content by DingiMbishi

  1. DingiMbishi

    Nimeteuliwa kuwa msimazi wa mirathi, nimeambiwa hatutaweza kunufuika na mfuko wa PSSSF. Ni kweli?

    Wapo sahihi,angekuwa amefariki haijazidi miaka hiyo ungeambulia
  2. DingiMbishi

    Leo ndiyo nimekubali kwamba kikulacho ki nguoni mwako

    Umeharibu mzeebaba,acha upigwe kipapai tu
  3. DingiMbishi

    Sababu 7 za kwanini Simba SC hawato kuwa mabingwa wa Ligikuu msimu 2023/24

    Kwa hiyo hvyo vitu ulivyoviongea vinaweza kutokea Simba tu huko kwingine fresh tu bloangu?
  4. DingiMbishi

    Kinachoendelea ndani ya klabu ya Yanga ni huruma

    Bloangu hasira za nini,si inaletwa taarifa tu?
  5. DingiMbishi

    Yanga yapanda nafasi ya 6 kwa ubora Afrika

    Kwa hiyo imeizidi hadi timu iliyochukua ubingwa shirikisho?
  6. DingiMbishi

    Mkoa gani hautamani kuishi hapa Tanzania?

    Atakuwa anaishi kule Reli Juu hapo Mwanga bloangu kwenye malaya wa buku na uchafu wa kila aina halafu anajifanya anapaponda
  7. DingiMbishi

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Issue sio idadi ya makocha,issue ni ndoo ngapi zimekuwa,acquired
  8. DingiMbishi

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Sa misimu 3 na 4 inafanana bloanngu,mi nilijua mlichukua labda mara 6 mfululizo manake nyie ni wakongwe,🤣🤣
  9. DingiMbishi

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Na wa misimu 4 ya kubeba ndoo back2back wasemaje bloangu?
  10. DingiMbishi

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Na inawezekana huko aendako ndio ukawa mwisho wake,huenda bahati yake ilikuwa vyurani
  11. DingiMbishi

    Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

    Mtoto wa kiume lazima umnyooshe mapema na inavyoonekana kwa aina ya malezi yako,tayari umeshamuharibu,ila hicho kipigo cha mbwa koko kinaweza kumrudisha mstarini
  12. DingiMbishi

    Kama Nabi ataondoka kweli Yanga, hamalizi miezi sita huko aendako, atafukuzwa

    Kama kawaida yenu,kuwalaani waliopita kwenu,mpira ni ajira,mtu anakwenda, palipo na maslahi zaidi
  13. DingiMbishi

    Mtoto wa Clement Mzinze apasua mtihani wa darasa la nne

    Duh,hyo shule itakuwa ni mbovu mnooo,je wangekuwa na mtoto wangu aliyegonga A zote wangefanyaje? Hilo ni tangazo tu kwamba hata watoto wa mastaa wanasoma shule hyo hata kama ni vilaza ili wazazi vilaza wavutike
Back
Top Bottom