Recent content by dimoso10

  1. dimoso10

    Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

    Nimejitahidi sana kuuambia na kuuzuia moyo wangu usikupende lkn umenigomea kabisa na leo cku ya saba moyo unaimba tu jina lako asubuhi, mchana na jioni.Hakika naona tayari u sehemu ya moyo wangu si kwa maneno bali matendo ya moyo.Niko tayari kukupokea kwa dhati mama.Pokea huu moyo pse
  2. dimoso10

    Naombeni mnichagulie jina la mtoto wa kike

    Tupatupa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. dimoso10

    Naombeni mnichagulie jina la mtoto wa kike

    Mambosasa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. dimoso10

    UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

    Katika utafiti wako umewakagua wanaume wangapi ili kuja na hoja ya asilimia 99%?
  5. dimoso10

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Paka ile fluid ya ku lubricate shaving mashine baada ya kunyoa.Mimi ilinitibu
  6. dimoso10

    Nina kijitabia ni kangu, ila huwa sikapendi

    Seriously unamaanisha that unafanya hivi? What dou gain?
  7. dimoso10

    Unamhudumia wakati hujamuoa, Umerogwa??

    Ni vema kutofautisha mama, mpenzi na mke.Mama ana haki na stahili zake, hali kadhalika mke au mpenzi.Jambo la msingi ni kutimiza wajibu wako sawa sawa.Aidha, ni vizuri kutenga moyoni nafasi ya kipekee moyoni ya wazazi lkn pia kuweka nafasi pekee ya mke , mchumba au mpenzi.Kila mmoja hapo anacho...
  8. dimoso10

    Hatua za mahitaji ya binadamu kwa mujibu wa Maslow

    Maslow ni msomi au mwanazuoni,aliyefanikiwa sana kufafanua mahitaji ya binandamu kwa kuzingatia hitaji lipi huanza na lipi hufuata.Akaonesha matano 1.chakula,kinywaji, malazi, usingizi na KUFANYA MAPENZI 2. Usalama binafsi 3.kupendwa, kupenda au suala la mahusiano na jamii. 4.Mafanikio au kukua...
  9. dimoso10

    Asante sana Shekhe wa Dar es Salaam! Mokiwa Umenishtua.

    Shekhe muda na wakati wote in public anajua ni jambo gani sahihi la kuongea.He is very wise and has presentation soft skills.I am not a moslem but I do acknowledge this Shekhe!
  10. dimoso10

    Escort woman ni nini? Ni kazi gani?

    Fanya bargain ya kazi.Be strict.Jisimamie.Maintain you value.
Back
Top Bottom