Recent content by Dimmosen

  1. D

    TUCTA yakaa mguu pande kupinga sheria ya mafao

    Wafanyakazi wa Tanzania wameonewa vya kutosha, mshahara mdogo, kodi kubwa, bado serikali inaweka sheria ya ukandamizaji, kwani mafao haya nikiwa hai au nikiwa nimekufa? Life expectance according to Demographic Health survey 2004, women is 46 years, male is 44. Kwa hiyo miaka 55 wakati wa...
  2. D

    Baraza la wawakilishi Zanzibar latetea matumizi ya bendera ya taifa kwa meli za Iran

    Ama kweli viongozi kukosa muelekeo na utashi wa kuongoza nchi itatu-cost, mambo mengi ya ajabu yanafanyika, sasa hii ku-reflag bendera yetu kwenye meli ya mafuta ya IRAN, inaamanisha nini, sio bure tukae chonjo, la sivyo tutatengeneza bifu na maadui wa IRAN, marekani ni mmojawapo. Dimosso
  3. D

    serious man to build a family!

    I am ready, dimmosen
  4. D

    Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

    I am Serious Lizz, if you real mean honest please let us contact and meet so as we can agree with what we can compromise. What matters is to highlight issues very openly. Actually on my side I am a grown person and have sort of history if you can agree with me we can have marriage. My...
  5. D

    Big up mhe.Luhaga Mpina mbunge wangu na jembe langu la ukweli kwa kupinga bajeti ya KIKOMEDI!

    Hakika, unachofanya Mbunge Mpina ni politica Maturity, na husukumwi na dhamira ya kinafiki kama wafanyavyo wabunge wengine, mfano wa wabunge wa CCM bungeni. na-quote: Naunga mkono bajeti ni nzuri kwa asilimia 300% halafu baadaye anaanza kutaja matatizo ya jimbo lake maji, shule, barabara...
  6. D

    John Mnyika amuita Rais Kikwete dhaifu, atolewa nje ya Ukumbi wa Bunge

    Nashindwa kuamini uwezo wa wabunge wa CCM, wamekalia ushabiki wa kisiasa, alichosema Mnyika kwamba Rais ni dhaifu, lina tatizo gani, zaidi ya rais mambo yate yame-stuck tu vipofu? Keep it up John Mnyika, tuko Pa-moko.
Back
Top Bottom