MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 257
Kuna wabunge wengne wa ccm ni vichwa hasa huyu mpina.Simsifii bali ni haki yake kupewa big up.Sababu kuu ni Kupinga bajeti dhaifu ya serikali inayowanyonya na kuwakandamiza wananchi kupitia kuongezwa kwa kodi kwa mlaji wa kawaida hasa ktk vinywaji na vyakula pia mawasiliano ilhali msamaha wa kodi unadunda kama kawa na ufisadi unaabudiwa na vigogo!,fedha za maendeleo only 30% ya bajeti wakati kwenye kula bata na kununua ma simu,ma smg,ma pete ya dhahabu na na laptop,ma shangingi na maposho ya serikali na ma safar ya J.K aka vasco da gama ni 70%!.Hongera mpina!