Kwahiyo kale ka Mbeya au Ka Dodoma kuwa jiji ni sawa huku Temeke ikiwa manispaa. Unajua mapato ya Temeke wewe? Unaweza kuyalingalisha na ya Mbeya mjini ambayo ni jiji?
Katibu mwenezi wa CCM mkoa wa Simiyu ndugu Mayunga George anatangaza kifo cha mwenyekiti wa CCM mkoa ndugu Enock Yakobo kilichotokea leo jumanne februari 22. Habari kamili zitawadia baadaye.
Ayaaaaa beberu kaleta viwili kwa mpigo! Kweli hii ni vita ya kiuchumi. Nashauri tupeleke majeshi yetu huko bahari ya Atlantic ili tumsambaratishe beberu Marekani.
Au nasema uwongo ndugu zangu?? Vita ya kiuchumi ni mbaya kweri kweri!
Vicky Kamata atangaza kuondokewa na mwenza wake Dkt. Servacius Beda Likwelile. Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye. Dkt. Likwelile amewahi kuhudumu katika Wizara ya Fedha na Mipango kama Katibu Mkuu kabla ya uteuzi wake kutenguliwa mwaka 2016...
Chadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri.
Wiki iliyopita mama huyo alikuwa mzima na alishiriki mazishi ya mwanaye huyo wa kike.
Picha mama mwenye nguo nyeupe (ambaye...
Imeisha hiyo. Joe Biden ameshashinda na Nevada imeamua tayari.
Ninachowasifu wamarekani wao wameamua kuondoa takataka lao. Sisi acha tuendelee kubaki na ujinga wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.