Recent content by DIGNI

  1. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Mkutano umeisha, sasa ni muda wa kumshughulikia RC Chalamila

    Huyu bwana Chalamila anatakiwa kupimwa akili uenda ni kichaa kama vichaa wengine Milembe.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Wajumbe wa Halmashauri kuu ya KKKT Dayosisi ya Kaskazini, someni hapa!

    Mleta mada ni wazi utaratibu wa uchaguzi wa vingozi wa KKKT huujui maana kama ungekuwa unaujua usingeandika kuwa eti kiti cha Askofu kinagombewa. Nakuomba urudi utafute na usome vizuri Katiba ya Dayosisi yoyote ya KKKT ukikuta kipengele hicho uje hapa ulete mrejesho. Kanisa hili ni taasisi...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Wahaya wana Akili sana kiukweli

    Mkoa wa Kilimanjaro kieneo ni sawa na Wilaya ya Uyui Tabora huwezi linganisha na Mkoa wenye mita za mraba zaidi ya elfu 40 na Kilimanjaro yenye mita za mraba elfu 13. Rudi darasani.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    Bidhaa ninayohitaka (bidhaa ninayoitaka)
  5. D

    JamiiForums Tanzania Huyu DJ amewezaje kumiliki mali zote hizi?

    Mafanikio ya mtu yana siri nyingi ndio maana ya methali ya usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

    Mkuu Mshana jamaa zetu walioenda China bado hawajarudi watupe mrejesho?
  7. D

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Kongole kwako mkuu kwa uwekazi huu maridhawa. Zaidi sana moyo wako wa ku share ili na sisi tujitafute.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

    Naomba mawasiliano yako kama hutajali ndugu Mshana Jr.
  9. D

    JamiiForums Tanzania Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

    Mkuu nitakutafuta naona unaweza kunivusha mahali. Una roho ya dhahabu ambayo watanzania wengi tunapaswa kuwa nayo ili tuinuane.
  10. D

    JamiiForums Tanzania TANZIA Balozi Dkt. Deodorus Kamala afariki dunia

    Ndio, mzee wetu Joseph Rwegasira bado yupo hai. Kwa wasiomjua aliwahi kuwa waziri wetu wa mambo ya nje enzi za utawala wa mzee Mwinyi.
  11. D

    JamiiForums Tanzania Ardhi Special thread

    Habari za majukumu. Kiwanja Dodoma ulishapata? Kama bado mimi ninavyo viwanja kadhaa katika eneo na Vikonje jirani mtaa ambao huko katikati ya mji wa kiserikali na Ikulu.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Watu wa PSU huyo Bodyguard wa Kike wa Mama apunguze Unene na kuwa na Sura ya Kukasirika mno

    Nikurekebishe, Rais hapewi maelekezo na mtu yeyote bali ni maelezo. Yeye ndiye hutoa maelekezo. Pia katika hali ya kawaida afisa wa ngazi ya chini hawezi kumpatia maelekezo afisa wa juu yake bali wa juu ndiye hutoa maelekezo kwa wa chini yake.
  13. D

    JamiiForums Tanzania Natamani kuhamia Dodoma

    Mimi niko Dodoma huu ni mwaka wa 27. Dodoma ni mji mzuri sana kuishi na hata bei za viwanja vya kujenga ambavyo vimepimwa ni bei ya chini ukilinganisha na miji mingine. Kuhusu mzunguko wa fedha kwa sasa ni mzuri maana watu wameongezeka sana. Wewe fika mwenyewe tembea ujionee kisha ufanye...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Waziri Bashe: Kilimo gani Kitarudisha Hizi Gharama (Heka 1 milioni 17)?

    Hivi bado hatujui kutofautisha kati ya ekari na hekta? Hizo gharama kwa kuanza ni sahihi lakini si kwamba kila msimu atatumia gharama hizo.
Back
Top Bottom