Recent content by digalangosha

  1. digalangosha

    INAUZWA Nauza Camera Nikon na kit yake

    Haya wale professional wa kupiga picha mzigo huu......jumla ni 1,500,000/= pamoja na usafiri juu yangu kukutumia popote But ukilipia 1,490,000/= utalipia delivery cost Camera Nikon D7100 body+charger - 900,000 Lens 70-300mm - 250,000 Bag - 50,000 Speedlight - 150,000 Stand+Camera handle -...
  2. digalangosha

    Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

    AC yako itakua na shida si bure, mie naweka umeme wa 50k na AC huwa nawasha pamoja natumia taa na pasi na tv, kuchaji simu na ninatoboa mwezi, sasa wewe 5000 kwa siku duh
  3. digalangosha

    Usijiloge ukafunga Ac kama huna hela utaiuza

    AC yako itakua na shida si bure, mie naweka umeme wa 50k na AC huwa nawasha pamoja natumia taa na pasi na tv, kuchaji simu na ninatoboa mwezi, sasa wewe 5000 kwa siku duh
  4. digalangosha

    Landcruiser LC200, engine 1HZ inauzwa 55M

    TOYOTA LANDCRUISER LC 200 YOM 2009 MODEL 1HZ ENGINE MANUAL INAPATIKANA DODOMA BEI MIL 55,000,000/= NOTE: INAINJINI YA 1HZ AMBAYO UNAWEZA VUA UKAWEKA 1VD Haya wazee wa miradi au mikodisho chuma yenu hiyo hapo, ndani ipo safi kabisa.... 0625640867 tuwasiliane
  5. digalangosha

    Wakuu nahitaji brevis kali

    Mwenye anauza brevis yake anifate DM......sio za madalali sijui stori za gari ya mdada mara mzungu anarudi kwao...
  6. digalangosha

    Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato

    Kato hiyo kesi anashinda mapema tu......huo ubabe sio solution ya tatizo
  7. digalangosha

    Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

    Wanaonea raia [emoji23] congo pamewashinda, kusini pamewashinda pia.....
  8. digalangosha

    Natafuta muwekezaji Dodoma mjini

    Habarini wakuu Nina eneo langu Dodoma maeneo ya kisasa, nyuma ya St. Gasper hotel, eneo lina ukubwa wa sq 1000.... Kwa nature ya eneo hili sasa hivi naona biashara ya apartment inalipa sana, mimi nguvu sina lakini kama kuna mtu atahutaji kuwekeza aje tuingie makubaliano ajenge tu.....ni mita...
  9. digalangosha

    Nahitaji toyota brevis

    Habari wanaJF Nahitaji brevis kali budget yangu nacheza 5M.....kama kuna mmiliki yupo humu anayo aje inbox...
  10. digalangosha

    Wanajeshi wa Russia wagoma kushambulia Bakhmut

    Si tumekubaliana Russian wanatumia makoleo
  11. digalangosha

    Paul Kagame ni nani EAC? Hii jeuri ya kujiamini hivi anaitoa wapi?

    Rwanda wanachojua ni kufuga ukoka na kuvaa vitenge wakate viuno kupokea viongozi airport.....
Back
Top Bottom