Haya wale professional wa kupiga picha mzigo huu......jumla ni 1,500,000/= pamoja na usafiri juu yangu kukutumia popote
But ukilipia 1,490,000/= utalipia delivery cost
Camera Nikon D7100 body+charger - 900,000
Lens 70-300mm - 250,000
Bag - 50,000
Speedlight - 150,000
Stand+Camera handle -...
AC yako itakua na shida si bure, mie naweka umeme wa 50k na AC huwa nawasha pamoja natumia taa na pasi na tv, kuchaji simu na ninatoboa mwezi, sasa wewe 5000 kwa siku duh
AC yako itakua na shida si bure, mie naweka umeme wa 50k na AC huwa nawasha pamoja natumia taa na pasi na tv, kuchaji simu na ninatoboa mwezi, sasa wewe 5000 kwa siku duh
TOYOTA LANDCRUISER LC 200
YOM 2009 MODEL
1HZ ENGINE
MANUAL
INAPATIKANA DODOMA
BEI MIL 55,000,000/=
NOTE: INAINJINI YA 1HZ AMBAYO UNAWEZA VUA UKAWEKA 1VD
Haya wazee wa miradi au mikodisho chuma yenu hiyo hapo, ndani ipo safi kabisa....
0625640867 tuwasiliane
Habarini wakuu
Nina eneo langu Dodoma maeneo ya kisasa, nyuma ya St. Gasper hotel, eneo lina ukubwa wa sq 1000....
Kwa nature ya eneo hili sasa hivi naona biashara ya apartment inalipa sana, mimi nguvu sina lakini kama kuna mtu atahutaji kuwekeza aje tuingie makubaliano ajenge tu.....ni mita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.