Mkuu hiï mada inaniîhusu moja kwa moja.Kwangu alikuja surveyor kutoka Tanesco akapima tukapata ni nguzo tano.cha ajabu hesabu ikaja ni 3,332,500.Yaan nilishndwa kuelewa hizo hesabu zao wanapigaje kwa sababu ukiuliza bei ya nguzo moja watakwambia ni 260000 sasa ni kigezo gani kilitumika mpaka...
Hao T.F.F wanazijua kweli kanuni?wanawezaje kumfungia mtu ambae si mwanachama wao bali mwajiriwa wa Yanga?pia kila afanyacho Muro anaiwakilisha Yanga sasa kwa nin wamushtak mtu badala ya kushtak taasisi?
Hapo sijaelewa kitu jambo moja.je wanawezaje kupanga dice za team zaidi ya mbili ili zikutane kama ishu ni ubaridi na ujoto la dices.mfano unataka team zako 2 zikutane na vibonde wengne wawili lakin specifically team fulan na fulan.hapo atueleze wanafanya je?make dices za tema zote zinakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.