Recent content by Dididi

  1. D

    Usiangalie kama ni mwoga .

    Mbona ya kawaida saaaaana
  2. D

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Hujui utendalo
  3. D

    Ufahamu uchawi wa Sigil

    Duh, hizi Elimu za masuala ya giza hapana jamani, sidhani kama tunazihitaji
  4. D

    Freemasons na harakati za kidini duniani

    Ninachokiona hapa ni mapambano kati ya wakatoliki na wasabato, lakini hawa wote wanaamini katika Msalaba
  5. D

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Aliyeleta mada nimemwelewa amechokoza tu ili wajuzi waje kutufunza, lakini mpaka sasa nimechoka kusoma wote mliocoment hamna mjualo zaidi mnagusagusa tu. Kwa kuwa wengi tunahitaji kujifunza kwenye hili, nina ushauri ufuatao: Kwanza, usimkosoe mtoa mada kwa kumshambulia kama na wewe huna hoja na...
  6. D

    Kampuni zinazohusika na kutengeneza pesa

    Swadaktaaaa, hii ndo maana halisi ya Elimu Bure
Back
Top Bottom