Kauli ya huyu jamaa niyakipumbavu sana kiasi kwamba inazidisha hasira sana..nilimsikiliza Dr Jakaya na binafsi nilimwelewa sana nashangaa sana kama mimi mtu wa chini kabisa kwenye haya mambo nilielewa na sikuwa na tatizo sasa kwanini hawa waganda kwao liwe tatizo??wanataka nini hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.