Recent content by dicloppa

  1. dicloppa

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya maziwa mtindi na maziwa fresh

    Biashara ya maziwa fresh haina tofauti sana na biashara ya utumbo kuharibika ni kugusa tu Fanya biashara ya mtindi inalipa ila uwe na freezer ya uhakika.
  2. dicloppa

    Kama una mtaji angalau milioni 2 njoo tupambane na ufundi simu na electronic na kuuza accessories mbalimbali

    Namaanisha hiyo milion mbili ni kodi ya pango humo humo pamoja na vitendea kazi kwa maana ya vifaa muhimu vya kazi?
  3. dicloppa

    Nini cha kuzingatia kabla ya kununua jenereta kwa ajili ya kukodisha?

    Cha kwanza ujue matumizi ya hilo jenereta kwa unaowakodisha ukilinganisha na uwezo wa jenereta lako kuzalisha umeme. Mengine utakutana nayo ukiwa site! Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
  4. dicloppa

    Hesabu ya dereva wa daladala Baada ya nauli kupanda

    Hakikisha haipungui 95000 mkuu
  5. dicloppa

    Ofisi ya kutengeneza simu na TV

    Wakuu naamini humu kuna watu wengi sana wanaomiliki ofisi za kutengeneza simu mbali na Kariakoo yaani huku mitaani. Sasa hitaji langu mimi ni kufungua ofisi ya ufundi wa SIMU na LED TELEVISION Naombeni muongozo na namna nzuri ya kuifanya kazi hii Naomba kuwasilisha!!
  6. dicloppa

    Natafuta sehemu inayouza mbwa (mnada wa mbwa): Sehemu ambayo mtu unafika na kuchagua mbwa unayemtaka kwa maeneo ya Dar es Salaam

    Nenda Iringa mkuu Dar hakuna mnada wa mbwa Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
  7. dicloppa

    Hawa ndiyo Wapishi bora Tanzania

    Hao wabongo wote migahawa yao inaitwa The bao???
  8. dicloppa

    Bus classic la kutoka mwanza to dar tofauti na Katarama

    Panda Ally's Star au Happy Nation (Ally's Star ana chuma mpyaaaa za Dar - mwanza hasa safari za jioni) Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
  9. dicloppa

    Hawa Form 4 & Form 6 wanaopata ajira TRA huwa wanaajiriwa sekta ipi?

    TRA Truck drivers most of them ni form four hivyo usikatishwe tamaa na wasiojua chochote.
  10. dicloppa

    Nataka kufungua ofisi ya kuuza na kununua pikipiki amabazo zimeishatumika

    Kununua pikipiki ya wizi maana yake unakuwa umenunua pikipiki ambayo haina nyaraka nadhan nimeeleweka vyema Ni upumbavu kiwango cha lami kununua pikipiki isiyo na nyaraka
  11. dicloppa

    Nataka kufungua ofisi ya kuuza na kununua pikipiki amabazo zimeishatumika

    Wakuu habari! bila ya kupoteza wakati niende kwenye maada husika wazo langu ni kufungua ofisi ya kuuza na kununua pikipiki amabazo zimeishatumika mtaani(used) Ili ofisi iwe imekamilika kwa upande vibali ni taratibu zipi napaswa kuzifuata ili kupata vibali na pia ni vibali gani napaswa kuwa...
  12. dicloppa

    Msaada: Nataka kufungua duka la hardware

    Changamoto hapo ni mtaji mdogo [emoji23]
  13. dicloppa

    Mchele wa kyela

    Kamsamba hiyooo
  14. dicloppa

    Kufuga kuku kutakavyobadilisha maisha ya vijana

    Hapa umeandika ushuzi tu na inavyoonyesha hata njiwa tu hujawahi kufuga umekurupuka mno na pia kwa mawazo yako mepesi inaonesha hata umri wako bado ni mdogo sana.
Back
Top Bottom