Recent content by Dibwe kulu

  1. D

    Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

    Lakini pia ni vizuri kuangalia na asili zao wanakotokea je! ni wazawa wa Moro au maana kama hao akina Francis cheka hao ni wamakonde Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  2. D

    Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

    Mzamiru ni mtu wa kigoma Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  3. D

    Tuko tayari kuacha kazi na kujiajiri. Tupatieni fao la kujitoa

    Uko sawa kabisa ndugu! Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  4. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NJOO TABORA WILAYA YA SIKONGE NIJE DSM Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  5. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa mwalimu aliyepo Mkoani Morogoro, Idara ya sekondari aje SIKONGE mkoa wa TABORA mimi nije MOROGORO wilaya zifuatazo: 1: Morogoro manispaa 2: Mvomero 3: Gairo Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  6. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo TABORA nije MOROGORO idara ya sekondari Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  7. D

    Majirani wanapiga kelele usiku usiku

    Tupe tofauti ya maneno hayo mawili na maana zake, tunashukuru sana Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  8. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye Mimi nipo TABORA wilaya ya SIKONGE MJINI, nataka kuja mkoa wa MOROGORO, wilaya zifuatazo: 1: Morogoro manispaa 2: Gairo 3: Mvomero 4: Kilombero Idara ya sekondari Mawasiliano 0655 545575 Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  9. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa mwalimu wa kubadilishana aje SIKONGE mkoa wa TABORA mimi nije mkoa wa MOROGORO manispaa, Idara ya Secondary, Kwa mawasiliano 0655 545575 Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  10. D

    Je, wajua? Basic salary ya Mwalimu Mwandamizi wa Shule ya Msingi ni 1.6m?

    Sasa ulitaka pesa zake mwalimu akachukulie wapi? Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  11. D

    Huyu mchungaji anayedharau walimu na kudhalilisha waumini akemewe

    Mimi mwenyewe ni mchungaji na hiyo clip nimeiona kwakweli siyo nzuri ila tunaifanyia kazi huyu mtumishi hakutumia hekima kabisa katika mahubiri yake. Maana mtumishi unapo hubiri neno la Mungu tunatarajia katika kinywa chako kutoke maneno ya kufariji, kuponya, kujenga, kupatanisha, matumaini, na...
  12. D

    Fursa pekee zinazopatikana kwa mwalimu wa Tanzania

    Kwani mwalimu anajipangia mwenyewe pa kwenda kufundisha? Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  13. D

    Je inawezekana mtu aliye ishia kidato cha pili na kufaulu kujiunga na QT

    Itawezekana, chamsingi awe na ile namba yake ya mtihani ambayo itaonesha ufaulu wake wa form two, maana ili ufanye mtihani wa kidato cha nne lazima uwe umefaulu kidato cha pili, Kwahiyo kama sifa hizo anazo basi anaweza kufanya mtihani wa kidato cha nne. Sent from my TECNO B1f using...
  14. D

    Kama Mbeya ingekuwa ni nchi, kwenye football hii ndio ingekuwa first eleven yake

    Aishi manula Jafary kibaya Jonas mkude Abasi kapombe Ramadhani kesy Kihimbwa Isimail Aidan Na wengine wengi tu. Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  15. D

    GE2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

    Mimi naunga mkono hoja yako, maana katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria, lakini mambo yanavyokwenda hakuna haja ya kuuliza kuwa eti kuna mtu yupo juu ya sheria, maana kutomuongezea mtumishi mshahara hii tayari ni majibu tosha kuwa katiba ya nchi...
Back
Top Bottom