Recent content by DIBA Kims

  1. D

    Sijui lengo lake nini

    Usiende mtoto isiwekigezo maana anaweza akapenda Mtoto wewe usiwe na nafasi wakati umepoteza muda KWA kuosha vyombo baadae unatimuliwa sikia wazazi wako. Kama shida ni ngono nenda katafute wapili lakini future huyo hajaamua kuwa nawe
  2. D

    Hivi ni sheria au hiari kuwapa misaada ukweni?

    Pole tulia ndoa ni Utawala binafsi kila MTU anaundesha anavyojua. Ila ushauri wangu. Wekeni vipaumbele vyenu vya familia pamoja cha muda mfupi wakati na mrefu changamoto Hizo zitambungua. Mimi na wife tunafurahia ndoa sana KWA sababu ya kuzungumza pamoja na kupanga pamoja. Hata baba yake...
  3. D

    Mbowe kulipua ufisadi wa Bomba la Gesi

    Heri wawe na Intelejensia Kali maana iliyopo ipo kwa maslahi ya viongozi. Leo Askofu wa Anglikana Zanzibar akihubiri TBC amesema wazi Rais asicheke wakati watanzania wanatarajia makubwa kwake. Pia asiwe na uvumilivu kwa watu wasio tambua nafasi zao kwa kudharau wananchi KWA dhuluma zao. Tembo...
  4. D

    Meneja wa Diamond (Babu Tale) awekwa kikaangoni na Vyombo vya Dola

    Nafikiri si kosa kabisa kuhojiwa Diamond, pia watanzania tumefanya mazoea kama ndiyo utaratibu, tuache ushabiki kuvaa nguo za jeshi ni kosa. Waliyopitia kwata lake wanaelewa umuhimu wake. Na ambaye haujakamatwa usiombe ukakutwa na wanajeshi wasio na weledi na jeshi utajuta, nasisitiza acha...
  5. D

    Mahudhurio katika nyumba za Ibada, ni sifa ya kupata Mwenza wa ndoa?

    Ni kweli kabisa, Mungu anajua hilo hitaji kwa ampendae na kumuomba
  6. D

    Digital na Tanzania

    Nikweli naelewa juu ya umuhimu wa digital nimejaribu kuweka kwenu ili mjue watanzania wengi hasa wa vijijin wanawaza nini juu ya mabadiliko ya digital
  7. D

    Digital na Tanzania

    Leo asubuhi rafikizangu wa kijijini wameniambia kua Tanzania inaingia vita na Malawi2013 ndiyo maana serikali ina himiza haraka watu waingie kwenye Digital ili wale wenye uwezo mdogo wasijue mambo yanakwendaje. Hivyo wakeomba ni wathibitishie kama si kweli au kweli. Na mimi nahitaji mawazo yenu...
Back
Top Bottom