Habari wanajamii forum, naitaj kupata msaada kwa mtu alie mwanza anielekeze mahali napoweza kupata samaki wabichi kwa bei nzur nataka nianze biashara hiyo nanunua na kuwakaanga arafu nauza sina mtaj mkubwa nataka nianze na kidogo tu
Kama kichwa cha habar kilivyo jieleza naitaji kufungua m-pesa Ila sijajua faida yake ni IPI,na mtaji wake ni sh ngapi.yan kikibwa zaid naitaji kujua jinsi biashara ya m-pesa inavyokuaa,msaada please
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza natafuta kazi ya records management, office assistant au hata secretary kat ya hizo ninauwezo wa kuzifanya izo kazi.Niko mwanza
Kama kichwa kilivyojieleza,
Mimi ninaishi Mwanza nilikua nahitaji kwa mtu mwenye ujuzi wa kunifundisha jinsi ya kushona mazulia, hereni na cheni za shanga anifundishe niko tayari kumlipa ili niweze kufahamu, itaku vizuri kama mtu huyo atakua Mwanza ili iwe rahisi kujifunza vizuri.
Ahsanteni
Kama kichwa kilivyojieleza naitaji msaada wa mawazo,mm ni bint naishi mwanza naitaji kuanza biashara ya kuuza samaki niwe nanuunua wabichi na kuwakaanga then nauza,ivo kwa mwenye uzoefu wa biashara hii anipe mawazo au jins inavyokua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.