Recent content by Dhurqaiyer

  1. D

    Malengo yangu kwa mtaji wa milioni tano

    Poli umepata wapi mkuu natamani nianze kilimo cha korosho
  2. D

    Waliochaguliwa SUA 2017/18 tukutane hapa

    umefanikiiwa kupata admission letter maana naona wanasema tutapata kwenye account zetu alafu sioni
  3. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Sijui umesoma post yangu vizuri sijapinga D tano Hata zaidi Na hizo chem,phy,bios ziwe pass sinashida nazo ninapopinga Ni kubadirisha Nakua wanahitaji credit kwenye chem Na bios badala ya Pass hata Kama una GPA above 3.5.Nakingine ninachopinga nikupandisha GPA Afya peke yake ambapo wanahitaji...
  4. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Si bora Hata hiyo Afya Hata Uwe Na 3.4 urudie diploma sijui,Na Hata upate 3.5 Na Saidi pass unazo wanataka credit.
  5. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Umesababisha nicheke mkuu kumbe alikua Na Grade N
  6. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    kigezo cha kujua kusoma Na kuandika sio kigezo cha kutofikiri ,jibu kulingana Na posti aliekwambia wote duniani tunatakiwa tuwe Na A ni nani? Hizo nyingine kawekewa nani Kwa jinsi ulivyojibu posti nadhani Hata hizo A nizakukariri majibu.
  7. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Kabisaa Maana hivyo vigezo Ni shida kabisaa
  8. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Natamani iwe hivyo warudishe PASS za Masomo ya science badala ya credit Na warudishe Iyo G.P.A 3.0 lakini sijui maana wamepandisha Afya pekee
  9. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Sawa nitafutilia kuanzia sasa ila nikuweke Sawa kidogo hapo mkuu,Mimi sitaki watuzingatie kipekee Na Ndio Maana nikaomba GPA irudishwe 3.0 Kama vigezo vya kozi zote,Na vya o level virudishwe pass 5 maana hakuna sababu ya kupandisha tena Kwa Afya pekee.Ahsante
  10. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Shida sio namna ya ku apply shida vigezo vimepanda Kwa kozi za afya kitu ambacho Ni vigumu kuvifikia vigezo vya sasa Kwa salio wengi hivyo wataalamu wengi wa Afya wengi kuishia stashahada
  11. D

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Bahati Mbaya sikuwahi kufatilia malalamiko ya waislamu juu ya hawa mawaziri,walikua wanalalamika pia kuhusu nini?
Back
Top Bottom