Sijui umesoma post yangu vizuri sijapinga D tano Hata zaidi Na hizo chem,phy,bios ziwe pass sinashida nazo ninapopinga Ni kubadirisha Nakua wanahitaji credit kwenye chem Na bios badala ya Pass hata Kama una GPA above 3.5.Nakingine ninachopinga nikupandisha GPA Afya peke yake ambapo wanahitaji...
kigezo cha kujua kusoma Na kuandika sio kigezo cha kutofikiri ,jibu kulingana Na posti aliekwambia wote duniani tunatakiwa tuwe Na A ni nani? Hizo nyingine kawekewa nani Kwa jinsi ulivyojibu posti nadhani Hata hizo A nizakukariri majibu.
Sawa nitafutilia kuanzia sasa ila nikuweke Sawa kidogo hapo mkuu,Mimi sitaki watuzingatie kipekee Na Ndio Maana nikaomba GPA irudishwe 3.0 Kama vigezo vya kozi zote,Na vya o level virudishwe pass 5 maana hakuna sababu ya kupandisha tena Kwa Afya pekee.Ahsante
Shida sio namna ya ku apply shida vigezo vimepanda Kwa kozi za afya kitu ambacho Ni vigumu kuvifikia vigezo vya sasa Kwa salio wengi hivyo wataalamu wengi wa Afya wengi kuishia stashahada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.