Barbershop inauzwa
Habarini ndugu wanaJamvi!
Ningependa niende moja kwa moja kwenye mada, barbershop iliyopo Goba inauzwa ikiwa na vitu vyake vyote ambavyo vinatumika barbershop ikiwemo viti maalumu vya barbershop, na vifaa vyote vya barbershop vipo
Masofa, rotating taa za nje, bango kubwa...
Wassalaam!
Moja kwa moja niende kwenye point ndugu zanguni, mashine ya juice yà miwa inahitajika
Location: Dar es salaam
Condition: used
Offer: 500k
Karibuni tufanye kazi
Now I'm believing being idle without anything which keep you busy ni mtihani kweli kweli....
Hizi ndio ajira nimeomba afu kila siku kila muda nawaza zitatoka lini, is like naingia jf Mara 30 kwa siku kuchungulia PDF
Na nimegindua hiyo yote ni kwasababu kwa sasa sina tena pale nilipokuwa...
Duuh....mambo yapo kasi! Na pale tehema tulikuwa 300 kuanzia ngazi ya cheti hadi shahada
That means watu 250 wote wameachwa
Sema kilichonikera walivuta muda hadi jumamosi baadhi ya watu waliokuwa shortlisted uhamiaji wakashindwa kwenda alafu mwisho wa siku mtu anakosa huku na huku! Na walienda...
Sio mbaya watu 97 kwa watu 600 is like uwiano wa 1:6, yaani katika watu watu sita au saba ya waliofanya usaili..mmoja anachaguliwa provided that connection is neglected
Asante ndugu...ila Nina swali moja bado, si lazima waliitwa interview?? Maana hadi majina ya waliochaguliwa kutoka maanake waliitwa interview wakasailiwa au hawakufanya usaili walichagua huko huko jukwaju?
Hivi kwa zile nafasi za mwaka Jana za polisi zilizotoka kwa waliokuwa wakizifuatulia baada ya submission deadline kufika ilichukua muda gani kuitwa interview?? Mwezi au miezi miwili??
Na pia kuna mtu ananiambia kuwa wale wa form four waliopita jkt waliokuwa nje ya kambi wao walifanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.