Recent content by Dezoizo52

  1. Dezoizo52

    Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Kuna kitu hakipo sawa kwako wewe Mwanaume mwenzangu.Hebu funguka yote Ili tukushauri na uweze kufahamu namna ya kutatua changamoto inayokukabiri.Mwanamke Huwa anahifadhi maumivu mengi ya muda mrefu na siku akichoka daima Huwa hakuna dawa ushauri wangu kwako ni maumivu ila mwache aende. Pole sana.
  2. Dezoizo52

    Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

    Chadema ikiwa nyie ndio chamba kikuu Cha upinzani lakini pia milijipambanua kama chama Cha demokrasia ni wakati Sasa muidhihirishie Dunia wapi mnapractice hio demokrasia.Mbowe amehudumu miaka mingi inamtosha na apumzike.Haiwezekani eti Chadema nzima mwenye akili,uwezo na haki ya kukiongoza chama...
  3. Dezoizo52

    Msaada: Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishwa kutoka kwenye ualimu nikaenda ustawi wa jamii?

    Haiwezekani kubadilishiwa muundo Kwa kusoma kada hio.Wewe umesomea ualimu bado ila unaweza kuomba Kwa Mkurugenzi wako au Kwa Mkurugenzi wa elimu Ili ukapige kazi Wilayani upande wa elimu.Pia scale ya mshahara Mwalimu Yuko juu kidogo ila marupurupu Mwalimu kazidiwa.Tofauti yao kama 8000 hivi.
  4. Dezoizo52

    DOKEZO Afisa Elimu wilaya ya Sikonge (msingi) anakula rushwa, pia anatumia madaraka yake kukandamiza wengine

    Tuhuma kama hizi ni kubwa wewe ni Mwalimu ulipaswa utoe ushahidi.Bila kufanya hivyo unaweza kuzaniwa unatoa majungu tuu.lakini pia ruhusa za masomoni ni Mkurugenzi ndie anayeandikiwa barua na afisa elimu barua huwa inapitia tuu sasa inakuwaje azuie usiende jiendeleza? Au na Mkurugenzi pia...
  5. Dezoizo52

    Ama kweli siasa ni sayansi, ametulizwa kwa kupewa ubosi TLS

    Some times jamii forum Kuna watu humu ni hamnazo kabisaaaa
  6. Dezoizo52

    DOKEZO Amewasilisha Polisi malalamiko ya ndugu yake kuuawa lakini Askari wa Kituo cha Polisi Kibaha wanamzungusha tu

    0699998899 mpigie IGP now atakusikiliza na ni moja kati ya mapolisi wenye utu na ubinadamu.
  7. Dezoizo52

    DOKEZO Amewasilisha Polisi malalamiko ya ndugu yake kuuawa lakini Askari wa Kituo cha Polisi Kibaha wanamzungusha tu

    Pole Kwa changamoto zinazokukabili maana umempoteza ndugu na Kwa kuwa huna koneksheni umeshindwa kupata haki.Jaribu kuwasiliana na igp Kwa namba hizo pengine unaweza kusikiliza.
  8. Dezoizo52

    Mamlaka ya maji taka na maji safi Lindi wanawahujumu wafanyakazi. Hadi leo tarehe 11/4/2024 hawajalipwa mshahara mwezi wa tatu

    Mamlaka za maji zinapanga na kulipa mishahara ya watumishi Kwa pendekezo la menejimenti.Hivyo menejimenti ikiamua kulipa mshahara tarehe 22/ kama serikali kuu wanaweza ila Kwa kuwa tunaviongozi wabinafsi na wenyechuki wameamua kutolipa mishahara hadi Leo tena mshahara wa mwezi uliopita wa mwezi...
  9. Dezoizo52

    Mamlaka ya maji taka na maji safi Lindi wanawahujumu wafanyakazi. Hadi leo tarehe 11/4/2024 hawajalipwa mshahara mwezi wa tatu

    Iko hivi Kwa kutumia lugha ya picha na kuunganisha dot kama kiongozi analalamikiwa Kwa utendaji wake mbovu na mtu anayepaswa kumuwajibisha alikuja kuongea na sisi wafanyakazi na kuahidi kuchukua hatua Sasa baada ya kuchukuliwa hatua wanapiga picha pamoja huku wakifurahi na sisi wafanyakazi...
  10. Dezoizo52

    Mamlaka ya maji taka na maji safi Lindi wanawahujumu wafanyakazi. Hadi leo tarehe 11/4/2024 hawajalipwa mshahara mwezi wa tatu

    Mkurugenzi anaitwa Eng Juma Sudi na Aweso alikuja mara tuu baada ya agizo la waziri mkuu Ili aje ashughulikie matatizo na changamoto zilizopo.Mh Aweso alikuja mapema mwezi February ila baada ya kuyachukua malalamiko yetu yaelekea alimtafuta eng Sudi akiwa masomoni ufaransa na kupiga nae...
  11. Dezoizo52

    Mamlaka ya maji taka na maji safi Lindi wanawahujumu wafanyakazi. Hadi leo tarehe 11/4/2024 hawajalipwa mshahara mwezi wa tatu

    Sikukuu yote hii kuanzia ya pasaka na Eid El fitr hatujalipwa wakati viongozi wanaogelea kwenye utajili wa wizi.Mkurugenzi wetu akijunufaisha Kwa kununua majumba mengi hapa Lindi mjini.
  12. Dezoizo52

    Mamlaka ya maji taka na maji safi Lindi wanawahujumu wafanyakazi. Hadi leo tarehe 11/4/2024 hawajalipwa mshahara mwezi wa tatu

    Ni wafanyakazi wa Lindi urban water and sewerage authority.Ruwasa ni rural water supply ndugu.
  13. Dezoizo52

    Mamlaka ya maji taka na maji safi Lindi wanawahujumu wafanyakazi. Hadi leo tarehe 11/4/2024 hawajalipwa mshahara mwezi wa tatu

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida MAMLAKA ya maji safi na maji taka Lindi haijawalipa wafanyakazi wake mshahara wa mwezi wa tatu 2024. Wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na maji taka Lindi mnamo mapema mwaka 2024 mara baada ya ziara ya kushtukiza ya waziri mkuu mh Majaliwa Kasimu katika ofisi...
  14. Dezoizo52

    Naangalia marudio hapa Mamelod vs Yanga Mzize mzize kukosa bao lile dah

    Li Mzize amekuwa mzigo wa misumali pale yanga.Jamaa hayuko na utulivu matokeo yake anatupatia maumivu Kila wakati.Ni muda Sasa wamwache aende zake
Back
Top Bottom