Recent content by dewj

  1. D

    Dr Aman Walid Kabourou ashinda nafasi ya M/Kiti CCM mkoa wa Kigoma

    unakosea kuwageneralize, utakuwa uliwaza kwa makal*o wakati unachangia hoja mkuu.
  2. D

    CCM kushinda urais mwaka 2015, CHADEMA kutawala bunge!

    just keep on dreaming:A S embarassed:
  3. D

    Mahawara wanasana Guest house

    mkuu, mara nyingi huwa hawaponi, labda kwa huruma ya mwenye mke.
  4. D

    MTOTO wa kutisha: Angekuwa marehemu ka angezaliwa Bongo!!!!!!!!

    dah Mungu ashukuriwe kwa ukuu wake..
  5. D

    Jinsi ya kuachana na mwanamke bila ugomvi

    mkuu, kumkimbia si suluhisho, inatakiwa umlipe huyo binti, umesema hana shule, then umuache so what next juu ya lyf yake na mtt, huenda gia yako ilikuwa ni kuoa ili ukamue mzigo ss umepata peer pressure ya kuwa na mke msomi au bint mwingine wataka kumshit, its not fair bana, kama hana shule...
  6. D

    Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

    post za ukuu wa wilaya inabidi zitazamwe upya, majukumu yao na vigezo vinavyotumika kuwateua pia tuone kama kuna tija ya kuwepo kwao.
  7. D

    Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

    post za ukuu wa wilaya inabidi zitazamwe upya, majukumu yao na vigezo vinavyotumika kuwateua
  8. D

    Waziri Mkuu: Tumejiandaa vema kupambana na mgomo wa madaktari

    Sipati picha itakuaje na polis kwa ujumla wao wakigoma... :shock:
  9. D

    Nicheke au nilie?

    ukimuondoa dada wa kazi, babu atakutaka wewe, la msingi mlete mamkwe after a week warudi bush.:shock:
  10. D

    Nicheke au nilie?

    ukimuondoa dada wa kazi, babu atakutaka wewe, la msingi mlete mamkwe after a week warudi bush.
  11. D

    Maandamano baridi na Legal and Human Rights Centre, Salender Bridge

    wanaharakati wazuia magari salender kuanzia saa8 hadi saa 9 alasiri ili kushinikiza serikali itatue mgomo wa ma dr.
  12. D

    Lowasa amzidi JK maadhimisho ya maulid, ahudhuria jk akwepa

    Inapendeza sana kuona mashehe, Ghalib, Freeman, Lowasai , zitto etc wakiwa pamoja....more over all are Tanzanian.
Back
Top Bottom