mkuu, kumkimbia si suluhisho, inatakiwa umlipe huyo binti, umesema hana shule, then umuache so what next juu ya lyf yake na mtt, huenda gia yako ilikuwa ni kuoa ili ukamue mzigo ss umepata peer pressure ya kuwa na mke msomi au bint mwingine wataka kumshit, its not fair bana, kama hana shule...